jaman ebu nisaidieni yani nipo kwenye familia toka nimeolewa cjawah chepuka walai nife kesho....lakini huyo mwenzangu anawivu mpaka naumwa nakonda yan nikiwa kazini anataka kila baada ya saa nimpigie au txt usipofanya hvyo atatafuta chochote mpaka akugombeze yana anapanic hatar...sikai kwa raha ukiondoka ukifika kituon umwambie ukifika kazin ukila sasa muda mwngne nachoka sana ukijsahau tu ugomvi ila xjawah chepuka sasa nawaza nimfanyeje?? nimemchunguza yani ni wivu tu na ananionyesha mapenz ya kweli yooote hana shida tatizo wivu sipumui kabsa yani...nipen ushaur tu ninenepe...