1996 : Natafuta pasipoti, nataka kusafiri kikafiri, popote nitafika hata south africa, nyumbani nimechoka, nazidi nyanyasika🎶
Sugu alikuwa visionary sanaa, hapa ulikuwa na umri gani?
Maudhui yalikuwa bongo flava ila kila mmoja alikuja na style yake kupelekea wawe authentic na kitu walichotoa na sisi wapokeaji tulipata vitu quality ambavyo hadi hatutakaa kusahau.
WIMBO...
Khabarini wanajamvi.
Natumai mpo shuari.
Ifuatayo ni sehemu ndogo ya safari yangu ya maisha. Huwa nafikiria sana nijaaribu kuchangia walau kidogo katika kuelimishana na kupeana uzoefu kwenye...
MASAA MAWILI YA KUMBUKUMBU
2hours of memories.
By
SINGANO JR
Kopi halisi ya kitabu kimeandikwa mwaka 2020 na kupitiwa upya mwaka 2021.
Haki zote zimehifadhiwa
ONYO
Hauruhusiwi kunakili ama...
Eeeeh wakuu,
Mnaotaka kuzielewa siasa nyuma ya pazia na michezo michafu inayochezwa na wanasiasa pamoja na wafanya biashara wakubwa kuitawala nchi na kuiweka mfukoni.
Kuteka mihimili yote...
Zari Hassan maarufu kama Boss Lady amejikuta mwenye majonzi baada ya mumewe, Cham Lutaaya, kuchezea kichapo heavy na kupoteza kwa knockout mikononi mwa msanii Rickman Manrick katika pambano la...
Naimani humu kuna wakali wa kutunga mashairi ya mapenzi hasa yale ya kusifia uzuri wa mwenzi wako , kumuonyesha ni jinsi unavyompenda na kumjali na pia kuna zile lyric hasa zinaelezea usaliti...
Sura ya: 1
Alissa Maziku alitazama kwenye kioo na kufuatilia midomo yake laini na iliyojaa kwa lipstick. Mrembo, mrembo sana.
Ngozi yake maji ya chungwa ilionekana nyororo na maridadi chini ya...
Mkongwe wa Mziki nchini Uganda Joseph Mayanja maarufu kama Jose Chameleone amevunja ukimya kuhusu mwenendo wa talaka yake na Mke wake Daniella Atim waliofunga ndoa miaka 17 iliyopita na kusisitiza...
Ni wazi kuwa katika miaka ya hivi karibu mivutano baina ya Israel na Palestina imekuwa mikubwa huku watu wengi wakipoteza maisha katika mashambulio kadha wa kadha haswa ukanda wa Gaza.
Dj Khaled...
Motra the future tofauti na diss track ukisikiliza nyimbo zake zingine huwezi kumuelewa kabisa, katoa diss trck mwenyewe nadai kuwa ni east africa diss track, ukiisikiliza kachana utoto mtupu...
Wana jamvi,mimi ni mdau mkubwa wa mziki wa mchiriku/mnanda. Mziki ambao ulitawala na kujizolea umaarufu mkubwa kwenye miaka ya 90 hadi 2000,binafsi nimekulia kwenye jamii yenye kuhusudu mziki huo...
Mwaka 2012, dunia ilishuhudia tukio la kipekee katika historia ya muziki wa kimataifa. Wimbo wa “Gangnam Style” ulioimbwa na msanii wa Korea Kusini, PSY, ulivutia hisia na kujenga wimbi kubwa la...
Wamemleta Frank Lucas ambaye sioni kama hata ana kauhalisia kwa mbali Bumpy yupo soft sana na hata hawa Gang leaders wengine hawana mvuto.
The story is boring sana. Wanakosa stories za maana...
Kama shabiki mkubwa wa muziki nimeona leo niandike kitu tujikumbushe watu walionogesha sana muziki wa Congo... Marapa... hawa jamaa walikuwa wanafanya sebene zinoge. Ninaandika huku nikiusikitikia...