Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

๐™’๐™„๐™ˆ๐˜ฝ๐™Š : BIYA ๐™ˆ๐™’๐™„๐™ˆ๐˜ฝ๐˜ผ๐™…๐™„ : MADILU ๐™๐˜ผ๐™๐™Ž๐™„๐™๐™„: ๐™ˆ๐™†๐˜ผ๐™‰๐˜ฟ๐˜ผ๐™๐˜ผ๐™Ž๐™„ """""""""" """""""" """"""" """""""""" """"""" "๐˜ฝ๐™„๐™”๐˜ผ" ๐™ฃ๐™ž ๐™Ÿ๐™ž๐™ฃ๐™– ๐™ก๐™– ๐™ข๐™ ๐™š ๐™ข๐™ ๐™ช๐™—๐™– ๐™ฌ๐™– ๐™ˆ๐™–๐™™๐™ž๐™ก๐™ช. ๐™‰๐™– ๐™๐™ช๐™ช ๐™ฌ๐™ž๐™ข๐™—๐™ค ๐™–๐™ก๐™ž๐™ช๐™ฉ๐™ช๐™ฃ๐™œ๐™– ๐™ข๐™–๐™–๐™ก๐™ช๐™ข ๐™ ๐™ฌ๐™–๐™–๐™Ÿ๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™ ๐™ช๐™ข๐™ฌ๐™–๐™œ๐™ž๐™– ๐™จ๐™ž๐™›๐™ช...
2 Reactions
0 Replies
822 Views
Wacha niwaorodheshee Top 15 ya ngoma pendwa duniani 1. Despacito ya Luis Fonsi na Daddy Yankee yenye watazamaji 8,441,831,151846,384 YouTube 2. See You Again ya Wiz Khalifa na Charlie Puth yenye...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
๐™’๐™„๐™ˆ๐˜ฝ๐™Š : Cavalier Solitaire ๐™ˆ๐™’๐™„๐™ˆ๐˜ฝ๐˜ผ๐™…๐™„ : J.B MPIANA ft PAPA WEMBA ๐™๐˜ผ๐™๐™Ž๐™„๐™๐™„: ๐™Ž๐™๐™‡๐™€ ๐™ˆ๐™†๐˜ผ๐™‰๐˜ฟ๐˜ผ๐™๐˜ผ๐™Ž ๐™’๐™–๐™จ๐™ฌ๐™–๐™๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™จ๐™š๐™ข๐™– "๐™๐™ข๐™—๐™–๐™ก๐™ž ๐™ฃ๐™ž ๐™จ๐™ฌ๐™–๐™ก๐™– ๐™™๐™ค๐™œ๐™ค ๐™จ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ฌ๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ค๐™ฅ๐™š๐™ฃ๐™™๐™–๐™ฃ๐™–" ๐™ƒ๐™ž๐™ž ๐™ž๐™ฃ๐™–๐™ข๐™–๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ฎ๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™–๐™ข๐™—๐™– ๐™ž๐™ ๐™ž๐™ฌ๐™–...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii ni miongoni mwa hadithi moja tamu sana. Ni ndani ya kijitabu kidogo chenye mvuto wa aina yake. Kilichochapwa 2007. APUL AENDA NAIROBI I Ilikuwa ikimuelezea kijana mmoja ambaye...
1 Reactions
0 Replies
357 Views
Kwangu mimi ni the red wedding (episode ya the rains of castamere) pamoja na kifo cha Hodor..... Naliaga kabisa kwenye hizi scenes ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ The red wedding ๐Ÿ’”
3 Reactions
55 Replies
2K Views
Series inahusu mji mdogo ambao ukijichanganya tu kuingia unashindwa kutoka yaani unakua umekwama na huwezi kuondoka kwa namna yoyote. Na balaa zaidi ni usiku kuna viumbr wanakuja, haitakiwi...
11 Reactions
45 Replies
6K Views
Habari, Mwenye kufahamu tafadhali. Sehemu ambayo kuna michezo ya watoto Kigamboni. Asante.
2 Reactions
5 Replies
2K Views
MIKA MWAMBA PRODUCER ALIYEIBUA VIPAJI VYA WASANII WENGI BONGO Ngoma za huyu mwamba zilikuwa na vinanda vyenye ma-vibe ya kufa mtu: Tamara + ni wewe - Hard Mad Eno maiki - Ziggy Dee (Uganda)...
14 Reactions
42 Replies
4K Views
Bado sijawahi kuona mapigano hatari kw series zote zaidi ya hawa wawili.
0 Reactions
0 Replies
489 Views
Ahsanteni https://youtu.be/v6Zw5duTJeA?si=ZCzpze04z1gcx-T-
1 Reactions
1 Replies
339 Views
Mashujaa wetu wanazeeka! ๐Ÿ˜ข Yupi kati ya hawa alikuwa muigizaji bora kwako?
6 Reactions
58 Replies
3K Views
Nyimbo ya kwa ni ya DEO MWANAMBILIMBI INAITWA MKE NI NDUGU AU RAFIKI nyimbo ya pili , HII NYIMBO NI YA BUSHOKE INAIMBWA HIVI WATU WENGI WALISEMA HUYU MSICHANA NI MTU ANAEMILIKIWA NA MTU MWENYE...
0 Reactions
2 Replies
426 Views
Wahenga wenzangu, Nipo nasikiliza hizi ngoma mbili 'Kama Unataka Dem' ya JayMo na 'Mabinti' ya Mwanafalsafa. Hizi ngoma kwa pamoja zilisumbua sana miaka ya 2001/2002 kwenye charts mbalimbali za...
2 Reactions
79 Replies
13K Views
Jina lake halisi ni Fatuma Binti Baraka, inakadiriwa kua alizaliwa mnamo mwaka 1910 huko Unguja. Alikiri kujifunza muziki kwa mwanamuziki wa zamani maarufu kama Sitti binti Saad. Mbali na kuimba...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu, Bila shaka mmewahi kuusikia Wimbo wa 'Nina siri na Yesu', ukiimbwa na mwimbaji mashuhuri wa nyimbo za injili kutoka nchini Rwanda mwenye asili ya Congo, Israel Mbonyi. Sasa siku kadhaa...
5 Reactions
8 Replies
7K Views
Kuna movie niliangalia miaka mingi kidogo kama 25 iliyopita kuna kijana alimchumbia mwanamke aliyekuwa na uhusiano na baba yake nafikiri yule mchumba wake alikuwa anafanya kazi ofisi ambayo baba...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Gere unanionea mie nakunifanya hasidi, kwakuwa unatambu kazi yangu jukwaani, hata hivyo nyuma, sitarejea, wajifanya wajua, jua linakuwakia. Naomba mwenye link ya huu wimbo ama anae mfahamu msanii...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Ilikuwa nikizisikiliza zamani mwenye redio free Afrika (RFA) Au redio Tanzania daresalaam (RTD) Ni nyimbo flani hivi msanii anaimba ila ni kama anaongea story flani hivi za masikitiko. Mara...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Filamu zote ni maigizo na sio uhalisia halisi wa maisha. Lakini katika ulimwengu wa filamu, mara nyingi tunakutana na uongo ambao hauna maana. Mimi nilikua nafuatilia sana movie za kihindi ila...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ