MTANGAZAJI wa Kituo cha Redio cha Times FM, Khadija Shaibu Dida amewashangaza watu baada ya kutundika mtandaoni picha zinazomuonesha akioga bafuni huku nyingine akiwa maliwatoni.
Picha hizo...
Kate Middleton and Prince William began their 3-week royal tour of New Zealand and Australia today Monday April 7th, and were greeted by half-Unclad traditional Maori warriors at New Zealand...
Wadau Hailengi Tasnia Fulani, Si Wasanii wa Muziki, sio Bongo movies.
Asilimia kubwa sana hawapendi miaka yao iwe wazi kwa mashabiki wakiwa hai Tunakuja kujua mara Baada Ya kuiaga Dunia...
Even at the age of 41, Pharrell still has a thing for SpongeBob SquarePants.
After rocking SpongeBob SquarePants onesie at the Nickelodeon Kids' Choice Awards last week, the "Happy" crooner...
Muimbaji wa kike wa Nigeria, Adokiye Kyrian amesema bado ni bikira na ataendelea kuwa hivyo hadi pale atakapopata mwanaume sahihi.
Kwenye mahojiano na jarida la Vanguard, muimbaji huyo mrembo...
Wema we mkali bana, nimependa color yako ya sasa ivi kitu natural color, huyu ndiyo wema tuliyokuwa tukimtaka sasa, siyo yule wa ma wigi na rangi ambayo haieleweki. Nyie mnaomuita wema mama ubaya...
Two things are becoming well-known facts about Miley Cyrus: that she hates clothes,
and she loves making out with inanimate
objects.
And Raunchy Miley manages to do both in
her latest photoshoot...
Huyu demu alikuwaga mweusi mwasiti na mpoki wamesingiziwa, from no where kaibuka white , hii mikorogo ya 360 kiboko, halafu kila siku anakana hajikoboi
Kundi la muziki la Mafikizolo kutoka Afrika Kusini ambalo lipo nchini kwajili ya show moja itakayofanyika leo Mlimani City, lina mpango wa kufanya video ya wimbo wao mpya Nakupenda hapa...
Sio siri huyu jamaa wakati anaanza nilikua namdoubt kidogo nikijaribu kulinganisha na watu ambao tayari walikua wameshajiestablish kwenye tasnia ya kutengeneza videos za wasanii kama vile kina AJ...
SOS says happy wedding anniversary to the hottest couple in entertainment;
Beyonce and Jayz
OMG it's been six years since their wedding day and it just feels like yesterday LOL!
To celebrate...
Nyota wa filamu ya 12 Years A Slave, Chiewetel Ejiofor huenda akapata mchongo mkubwa zaidi kwa kushiriki katika filamu maarufu duniani ya James Bond.
Watu wa karibu na watayarishaji wa filamu...
American rapper Nicki Minaj and her boyfriend Sfree Samuels have been in a relationship for the past 10 years. The boyfriend actually has two tattoos of her face across his chest.
These love...
hawa jamaa ni balaa sana. Wakati nakua nilikuwa napenda sana hadithi za shigongo.
Badae nikaja kuwajua waandishi wengi sana. Ila walionivutia zaidi ni hawa watatu,..tuwa,shigongo na mzee beka...
wakuu, nimekuja na neno hili baada ya kushuhudia wema Sepetu alivyofanya fujo na kujidhalilisha ndani ya Ofisi za GPL..
kwa kweli kwa jambo kama lile, sidhani kama wema sepetu alistahili kwenda...
Wema Sepetu na meneja wake, Martin Kadinda katika pozi tata.
PICHA inayomuonesha mwigizaji Wema Sepetu na meneja wake, Martin Kadinda imezua utata kuwa huenda wawili hao wana zaidi ya...
Mwenyewe amekiri Mara kwa Mara kumzimikia mwana muziki wa kizazi kipya, Diamond platnums na kusema ndiye mwanaume anayemzimikia kuliko mwanaume yeyote, na ndiye mwanaume anaye wish kuwa husband...
Baada ya kutolewa video yake ya Nimevurugwa kwenye tuzo za Ktma 2013/2014 Snura ame-amplify taarifa mpya hizi zinahusu kile ambacho kilionekana kusababisha video yake kufungiwa na kutolewa...