Thursday, June 5, 2014
kutoka kshoto ni Promoter DMK,Diamond Platnumz,Kevin Liles,Rais Dkt Jakaya Kikwete.
Hivi Majuzi wakati Tour ya Diamond ilipokuwa New York,Ma Promoter wake pamoja na...
Katy Perry had a serious wardrobe malfunction while she was at Raging Waters Park in San Dimas, CA.
The pop diva was going down the rapids when she lost her bikini bottoms and almost her top...
Now they are behaving like newly weds. Kim and Kanye were photographed putting up a rare public of affection as they attended Kanye's stylist wedding today at Ploskovice Castle in Czech Republic...
Blogger Sintah Amemchana Irene Uwoya baada ya Picha zake za Mahaba kusambaa Akiwa na Kiserengeti Boy cha THT.
Jisomee Alichosema Sintah,
Katika dawati letu hatusemi mengi zaidi ya kusema...
Huyu jamaa alikua bonge la mtangazaji wa kipindi cha mahojiano ya wasanii wa bongo fleva enzi hizo chanel 5 inaanza kurusha matangazo yake baada ya kubadili jina toka ITV 2.
Kwa anaejua jamaa...
Lupita Nyong'o kung'aa zaidi
Msanii muigizaji kutoka Kenya Lupita Nyong'o ameteuliwa kuijiunga na mabingwa wengine wa kimataifa katika filamu maarufu zaidi duniani STAR WARS.
Lupita anatarajiwa...
Star Singer Rihanna was honoured with the Fashion Icon Award at the Annual Council of Fashion Designers of America Awards yesterday,Monday.Rihanna who was awarded for taking fashion risks...
Unaweza kuona kama bado drama zinaendelea lakin ni kama movie imefika mwisho, kwani wale wakali wawili waliotengeneza headline hapa mjini kwa social media wamepatana, Kajala Masanja na Wema...
Staa wa Bongowood, Blandina Chagula ‘Johari' anadaiwa kumtupia vijembe kiaina msanii mwenzake , Chuchu Hans ambaye ‘anabanjuka kimalovee ' na mkurugenzi mwenza wa Kampuni ya RJ...
Sakata la Mume wa mwimbaji FLORA MBASHA kumbaka shemeji yake mapya yaibuka Mume aelezea sababu za kufanya UKATILI huo..! Posted by Gumzo on May 29, 2014 JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala jijini Dar es...
CHANZO:Clouds FM
Februari ya kila mwaka huenda ikawa ni kumbukumbu mbaya kwa mwanamitindo na Miss Tanzania 2001, Hapiness Millen Magese ambaye mwezi huo ndipo alipogundulika kuwa hataweza kupata...
Bob Marley's daughter, Sharon Marley Prendergast and Ekow Alabi Savage officially tied the knot at a private family location . Dr. Erica Bennett, Ambassador for the Diasporan African Forum...
Linex Sunday Mjeda
''Sidhani Kama wabunifu Wa mitandao hii ya kijamii Kama walifanya ubunifu huu kwa lengo la kupotosha Uma au kutofautisha watu Mh Zitto hajawahi kunikosea jambo lolote kiasi...
Justin Bieber
Mwanamuziki maarufu duniani Justin Bieber, ameoamba radhi kwa kutumia neno la kibaguzi wakati akiwakejeli wamarekani weusi kuhusu swala la ubaguzi wa rangi.
Bieber alitumia neno...
Ommy Dimpoz amefunguka na kudai kuwa mitandao ya kijamii imempa mpenzi.
Ommy amekiambia kipindi cha XXL cha ya Redio Pendwa Clouds FM kwenye kipengele cha 255 kuwa yeye na msichana huyo waliweza...
Khloe and boo French Montana have come under fire for posting photos of him wielding a gun while she drinks from a champagne bottle .They were on set of his music video shoot "They Don't Love You...
Wanajamvi, Wasalaam.
Ni ukweli usiofichika kabisa wasanii na wadau wa sanaa Tanzania walikuwa na mategemeo makubwa baada ya kuona mtu ambaye alikuwa kwenye sanaa ya muziki muda mrefu amekwenda...