Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,469
Ni maneno yake huyo mwana masumbwi! mtazame na kumsikiliza..
Last edited by a moderator:
Kie kie kie kie KIBRI IMEMJAA
Mwehu tu huyo na kina Bill Gates wasemaje? Babu zako wameenda kama Makuli huko Asa hivi anajiona Glazer usikute ana asili ya Mtwara
Watu wanaopigana ngumi hawana akili nzuri! Trust me.
Ubongo wako hauwezi kuwa sawa kwenye pambano moja unapigwa ngumi zaidi ya elfu kichwani!!
Mwehu tu huyo na kina Bill Gates wasemaje? Babu zako wameenda kama Makuli huko Asa hivi anajiona Glazer usikute ana asili ya Mtwara