Nimetoka kumsikia anasema mtoto wake mmoja ametoka kuchukua cpa juzi, sijaelewa kama alikuwa anamaanisha kwamba ametoka kufanya mitihani ya nbaa may hii, au amegraduate mwaka jana.
huyu muhasibu...
Nimeanza kumsikia jenifa mgendi (mwimbaji wa nyimbo za injili) tokea niko mdogo sana hata shule sijaanza.
Cha kusikitisha had sasa naona kama wanamuonea. Sijamsikia kwenye matamasha wakimjumuisha...
Alexander Imich, born February 4, 1903 is a 111-year-old Polish psychic researcher, he died Sunday morning at a senior residence in New York City. He received the title after the previous...
Ndugu zangu wana JF,jana nilimwandikia waraka maalumu Flora mbasha na nikamuuliza maswali kadhaa ambayo hadi sasa hajajibu japokuwa naye huingia humu,wengi wetu tumegawanyika kuhusu mgogoro...
27-year-old Eudoxie Fabiola Agnan the wonderful daughter of Jermaine Agnan is originally from Gabon, Africa. she goes by Fab because her middle name is Fabiola.Fabs real Facebook page is in...
Hivi tatizo la huyu jamaa ni nini kwenye mziki?huwezi ukasema kuna wimbo wake hata moja ume-hit,aisee mshikaji mi naona kama hana nyota kabisa.
Wa siku nyingi sana ila sijui kama anakubalika...
Mwanamuziki wa zamani na mbunge Vicky Kamata baada ya ndoa yake kudaiwa kuzuiliwa kufungwa kutokana na kudaiwa kubainika kuwa mwanaume aliyetaka kufunga naye ndoa ana ndoa nyingine, amefunguka kwa...
Tumpigie kura kwa wingi Diamond ili aibuke na ushindi katika MTV Music Awards itakatofanyika Kwazulu-NATAL
Bofya hapa chini:
2014 MTV Africa Music Awards Kwazulu-Natal | Vote
Wana bodi, siku za hivi karibuni nimeshuhudia wasanii wengi wakiondoka majumbani kwao na kuanza kujitegemea. Ni jambo zuri ila cha ajabu sio wa kike au wakiume wamekuwa ombaomba wa kodi za nyumba...
Picha hizi zimezua story kwenye mitandao mbali mbali ya kijamii, baada ya Demu wa Rapper anaechipukia kutoka Tz kuonekana akiwa amejimwagia pesa juu ya kifua chake huku sehemu ya chuchu upande...
Yes! Kanye has started his "husband duties" just a week after their much publicized wedding. There are reports that Kanye is banning Kim from appearing on a new Keeping Up The Kardashians...
Hivi najiuliza sana ile ofisi ya Kanumba mdogo wake Seth alidai anaiendeleza na wakaja watoto wengine wa yule baba yao wakajidai wamejipanga kuendeleza mtanange,
HIvi imeishia wapi mana hata muvi...
Wakuu sio vibaya tukatumia frusa hii kujuzana na kupeana uzoefu wa mawili matatu juu ya tunzo za mtv leo kule south africa
Najuwa diamond ni mmoja wa wasanii pekee kutoka tanzania atakayeshiriki...
Diamond bado yupo nchini MarekaNI ,Alikoenda kwa ajili ya maonyesho ya Mziki, na kesho anatarajia kurudi nyumbani, tayari kwa safari ya SA kwenye tuzo za MTV. Mojawapo ya mambo mema yaliyotokea ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.