Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Pamoja na sifa nyingi ambazo amejizolea mwanamuziki Naseeb Abdul "Diamond" ni kweli ana kipaji na pia anajituma katika kazi zake. Ila asisahau kwamba hatua aliyofika leo pamoja na kujitahidi kwake...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Wote ni video director wa video za kibongo wakali sana ninaowaaminia. niambie mdau kwa mtazamo wako nani anasumbua sana kati ya hivi vichwa viwili? baadhi ya video za NISHER ni: Nje ya Box-...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Mh. Samuel Sitta ambae anachuana na wana-CCM wenzake kupata tiketi ya kugombea urais kupitia chama cha mapinduzi kagundua kitu ambacho kitamleta karibu zaidi na vijana masister du na mabraza men...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Nampenda sana Millard Ayo nilijua ana kitu cha tofauti tangu anaanza kazi ya utangazaji. Sio kwamba nilivutiwa na story yake aliyopitia. Jamani anastahili credit nyingi sana. Habahatish...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Wasanii hawa wabongo ukiwaona kwenye tv unaweza waona wanahela sana kumbe hawana lolote. Juzi kati hapa Hemed PHD pamoja na kulamba lamba lips zake alishindwa kuchukua GX 100 kwa milioni nne tu...
0 Reactions
27 Replies
9K Views
Kwanza muonekano wake haswa kimavazi haujanifuraisha. Anaelezea namna alivyo hodari kwenye soka. Aelezea kuwa Tid alitaka kumuua..ila kaiachia serikali. Anasema alikuwa kimya ili awe...
0 Reactions
57 Replies
12K Views
Hi Sporah! hongera kwa kuwa na kipindi chako kwa TV, ni hatua kubwa sana. Umeweza!! Japokuwa tunafurahia baadhi ya shows lakini nyingi zinaboa! Yeah unatafuta viewers lakini kwa njia ya...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Unapozungumzia wasanii wenye vipaji vya kutisha nchini Tanganyika huwezi kusita kumtaja kijana huyu Ally kiba. Ni msanii mwenye mvuto , sauti nzuri na haiba yake, siwezi hata siku moja...
1 Reactions
50 Replies
9K Views
Sina kawaida ya kuwafuatilia sana watu maarufu lakini huyu dada ananivutia sana na ninatamani nimwombe ndoa,hebu nisaidieni nampataje? Anaishi hapa nchini au ni diaspora(saivi naoana wanapenda...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Anadaiwa kufuatiliwa kwa ukaribu na polisi akihofiwa kusafirisha 'unga' kutokana na shoo za nje ya nchi, kumiliki fedha nyingi katika akaunti. ========== NIkweli kimenuka! Mbongo Fleva Nasibu...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
HAPPY BIRTHDAY MONALISA Leo ni siku ya kuzaliwa ya Monalisa Mwigizaji na Mtangazaji wa kipindi cha Filamonata cha 100.5 Times Fm. JF tunamtakia maisha mema yenye baraka na fanaka.
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Hong Kong (CNN) The 32-year-old son of actor and kung fu star Jackie Chan has been arrested in Beijing on drugs charges, as authorities clamp down on celebrity offenders. Police say they detained...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kwa wale ambao huwa wanafuatilia conspiracy theories za illuminati najua mtakubaliana na mimi kwamba huyu jamaa either ni member au yupo obsessed na illuminati, katika video take aliyopost(Diamond...
0 Reactions
8 Replies
10K Views
Habari zenu Tukiwa hapa kijiweni Bamaga, tukipiga story mbili tatu anakuja jamaa Mshikaji wetu anayefanyia TBC ambapo Ni mmoja kati ya waendesha kipindi fulani...Baada ya kupiga story mbili...
0 Reactions
84 Replies
23K Views
Msanii aliyepata kuvuma sana kabla ya mwaka 2010 alimaarufu kwa jina la Marlaw, amejutia uamuzi wake wa kukipigia kampeni chama cha ccm kwani kimemporomosha kimuziki. "Unajua mimi mwaka 2010...
0 Reactions
123 Replies
24K Views
Ameandika hivi kwenye facebook. page yake "Tahadhari /Ombi: Kuhusu wimbo "Mdogo Mdogo" wa Msanii Diamond uliofanyiwa remix na kuingizwa maneno ya kampeni yenye mvuto na ladha ya kipekee na...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
kama tittle inavyojieleza hapo,huyu jamaa(Spack) alikuwa mkali sana kwenye bongo fleva,naona amepotea ghafula sana.. anayejua yuko wapi,anafanya nin na kwanin aliamua kuacha mziki atujuze.,
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Mdogo wangu Diamond, umesahau ulikotoka, mafanikio yamekufanya hadi unamdharau baba yako mzazi, hata kama alikukosea vp, huna baba mwingine zaidi yake. Mama yangu aliwahi kuniambia kuwa, baba ni...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Naomba nifunguke kidogo nielezee kile ninachokifahamu kuhusu ili sakata!! Mgogoro katika ndoa ya Mbasha na Florah ulianza kushika kasi mwaka jana mara baada ya Florah na Mumewe kuhamia kuanza...
2 Reactions
84 Replies
18K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…