Siku moja MUNGU akipenda nitakuwa na ndege yangu labda, na hapo kwenye ki kadi kama hiki patakuwa pameandikwa MACHOZI AIR na sio Barrick Tanzania.
Jamani hii ndege ni ya Barrick ilitumwa...
Kama kweli Flora Mbasha anamwita Gwajima mjomba kwa maana ya kuwa ni kaka wa mama yake, kwa nini mumewe alikuwa na wasiwasi naye kuwa ndo chanzo cha mgogoro wa mahusiano ya ndoa yake kwa kuishi...
Super lady kunako tasnia ya sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ( 26), anadaiwa kuangua kilio kisa kutopata mtoto, Risasi Jumamosi limeinyaka.
Super lady kunako tasnia ya sinema za...
MAPENZI bwana ! Baada ya kuogelea kwa muda mrefu katika penzi la muigizaji Kajala Masanja, hatimaye shemeji wa aliyekuwa rafiki wa mwigizaji huyo, Wema Sepetu, Ahmed Hashimu Petit Man ...
AY ameungana wasanii wengine wakubwa barani Afrika jijini Washington DC, kwa mwaliko kutoka ikulu ya Marekani kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Marekani na Afrika utakaofanyika wiki hii.
AY akiwa...
''Kuwa uyaone mengi sio maghorofa bali ni vituko vya binaadam katika hii dunia just imagine Zitto anavyoabika sasa hivi daaah, hivi kweli kuna mwanaume aliekuwa mahabani na Diva naye akasema...
Wakuu, I'm already on bed, and I have just slept few minutes ago, but some nonecense has not swept me away.
I'm having a tabloid that mainly deals with sundry stars across the UK, my question...
Kwa kweli Bongo tuna wasanii wa kike wa kujivunia. Hasa Recho na Jide. Nyimbo zote za Recho zinanibamba kinoma. Ukianza na Mwali Kigego, Umependeza na huu wa Sasa Nikumbate. Kiufupi Recho ni...
CHEREKO!
Ikiwa umepita mwaka mmoja tangu mumewe Juma Kilowoko ' Sajuki ' afariki dunia , msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma ameongeza ndinga mpya na kuiacha ile ya zamani kwa muda...
Milio ya risasi ilisikika usiku wa kuamkia jumapili 24/08 saa 1:30 kwenye klabu ya usiku ya 10AK, West Hollywood kwenye pre-VMA party. Baadae ilifahamika kuwa co-founder na former CEO wa Death Row...
Kimenuka!
Mama mmoja mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam , aliyejitambulisha kwa jina la Mama Zahara , ameibuka na madai mazito akimtuhumu msanii wa filamu ambaye pia ni mjasiriamali , Lulu...
Aliyekuwa mwakilishi wa Tanzania kwenye shindalo la Big Brother Africa The Chase, Ammy Nando anatarajia kutoa kitabu chenye kiitwacho ‘Mhuni Mwenye Akili.
Mhuni huyo Mwenye Akili' alitolewa...
Angelina Jolie wa Bongo' Irene Paul amekiri kuwa kwa sasa hajaolewa ila anaishi na mwanaume kwa kumpikia na kumpakulia.
Akiongea hivi karibuni, Irene ambaye mara nyingi ni mchoyo wa...
Linah ni Msanii mkubwa tu wa Tanzania..Ila hii Description aliyoweka Youtube sio Nzuri!
Hapo kwenye RED english mbovu ,na sikudhani kama kulikUwa na maana wa kuiweka South Africa .
nadhani...
HABARI kubwa ya mjini hivi sasa , hasa
kwenye mitandao ya kijamii ni juu ya madai
mazito ya kuvunjika kwa ndoa ya selebriti
wawili Bongo, staa wa muziki wa Kizazi
Kipya, Judith Wambura Lady...
WASANII waliokuwa wakipigania cheo cha urais wa Manzese, Hamad Ally ' Madee', na Emmanuel Elibariki ' Nay wa Mitego ', hatimaye wamemaliza tofauti zao baada ya kudumu kwenye bifu kwa...
straight to the point above:
1. Ali Kiba
wewe jamaa unamavocal,masauti,na pengine unapendwa sana kazi zako..ila umeshindwa kabisa kukaa kwenye game na kujitangaza ipasavyo.
2.Lulu MIchael...
Wema Sepetu a.k.a Beautiful Onyinye amekula kiapo cha kumchukia dada wa hiyari wa mwandani wake, Nasibu Abdul ' Diamond Platnum ' , Halima Kimwana ambaye wamekuwa na bifu kwa kipindi kirefu...
Wasalaam wana jamvi.
Kwa mara nyingine wasanii Diamond na Davido wameonekana kuwa vinara wa muziki Africa baada ya kukutanishwa tena kuwania tunzo nyingine huko Marekani wakiwa sambamba na Awilo...