Umaarufu wa Ali Kiba unaishia Kibaha huku mikoani watu hawamjui kabisa.. Mikoani Diamond ni maarufu kupita wanamuziki wote wa Tanzania kwa sasa.. Wivu wa mafanikio ya Diamond unawatesa sana vijana...
Akiongea na 255 ya XXL kupitia Clouds fm Diamond amesema yupo tayari kumsaidia collabo Ali Kiba.
Aliulizwa je yupo tayari kufanya kazi na Kiba pamoja na tofauti zinazozungumzwa kati yao...
Nadhani Hili jina si Geni Kwa Wadau Wa Muziku kuanzia miaka Ya 2001 mpaka 2005.. Tafandhari ndugu wanaJf mwenye Nyimbo za Huyu Dada Naomba atuwekee hapa maana Nimetafuta mpaka jasho limenitoka...
Jamani kwa waliokuwa Fiesta watakubaliana na hili.
Sasa hivi hawa jamaa mambo hadharani kweupe, kitu full affection.
Dah hongera kwa kujichukulia katoto kazuriii, kweli usanii unasaidia kupata...
Dar es Salaam. Kashfa imemwandama Miss Tanzania 2014, Sitti Mtevu baada ya vielelezo mbalimbali kuonyesha kuwa ameghushi umri.
Sitti katika fomu zake alijaza ana...
Nimefuatilia kwa karibu tamasha la fiesta jana kuna jambo kubwa nimejifunza na sii vibaya nikamshauri huyu bwana mdogo Diamond kuwa marafiki wanakuwa karibu pindi mziki wako unapokuwa juu, wakijua...
It's time for T.I to dust off his acting skills. For those of you who don't know, T.I will star in Marvel Studios' new super hero movie, "Ant-Man"!
Although the rapper cannot disclose which...
Ni ukweli kuwa Ally alikuwa juu sana kuanzia 2007-2010....baada ya Dimond kuja na kuteka soko la Muziki huku akiwazima watu kama taa ally kiba alipotea kwa kasi ya kimbunga kabla ya kuanza kupanda...
huyo Stan ndiye anayepigiana simu na Mkude Simba yeye akiwa mjini na sauti zao zinafanana sana hawa jamaa!
kuna jamaa wanadai ndiye mwenyewe, kuna ukweli wowote?
SiKU chache baada pedeshee Mkongo , Mwami Rajabu kutangaza kuwa anamtaka staa wa sinema Bongo, Elizabeth Michael ' Lulu' kwa gharama yoyote, mwigizaji huyo ametoa jibu linaloonesha dhahiri...
Jana nilijihakikishia jinsi gani Diamond yupo katika level yake ya kipekee huko juu....unajua ilikuwaje??
kwenye tamasha la fiesta la Dodoma ilipigwa nyimbo ya mdogomdogo bila Diamond kuwepo na...
Ni baada ya kupata komenti nyingi kwenye kurasa yake ya Instagram za kuitusi Africa na kumuomba asirudi na Ebola nchini kwao...
T.I pia kawapiga mkwara wote wanaongelea Ebola kuwa atawafuta...
STAA wa filamu mwenye makeke mengi, Elizabeth Michael ' Lulu' amesema kwa mtazamo wake anaona Bongo Movies imebuma hivyo ameamua kukomaa na shule ili awe na kitu kingine tofauti na sanaa...
Ni kweli kabisa wolper, kila mtu anafanya uchafu pengine hata kushinda wa kwako, na uko sahihi kusema kila mtu ana Uhuru wa kufanya anavyotaka ila kumbuka wewe ni super staa aka kioo cha jamii...