Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

MTANGAZAJI wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kinachorushwa kupitia Radio Times, Hadija Shaibu ' Dida' amefunguka kuwa kamwe hawezi kufanya kazi Ikulu kutokana na vimini anavyovitinga ...
0 Reactions
71 Replies
13K Views
SEXY lady wa filamu Bongo, Kajala Masanja hivi karibuni aligeuka gumzo yeye na mwanaye walipoenda kufanya ' shopping ' Mlimani City ambapo watu walikuwa wakiwakodolea macho kwa jinsi...
3 Reactions
289 Replies
43K Views
Mkali wa Sound Track ambaye pia ni mkali wa kuvunja (dancer) amezungumzia uhusiano wake na muigizaji mrembo wa Bongo Movies, Irene Uwoya. Akiongea na tovuti ya Times Fm, Msami alizunguka sana...
0 Reactions
34 Replies
7K Views
IMEGUNDULIKA kuwa uhusiano wa staa wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘ Shilole’ , na mpenziwe Nuh Mziwanda ni kazi bure kwani uwezekano wa kufunga ndoa kati yao haupo kutokana na kupishana imani. Ishu...
0 Reactions
75 Replies
11K Views
Wadau hivi kike kizungumkuti cha mbasha na mkewe kimeishaje?mwenye info kamili atupie hapa
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ukianza kufuatilia nyimbo zake utagindua huyu mama alijua wazi kwamba hawezi kuishi na captain. Angalia kwa mfano wimbo wake ule 'nani wa kunifuta machozi umeondoka umeenda mbali' kaeleza haya...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Is this how to carry on a holiday romance footballer style? Soccer ace Neymar, 22, sends private jet to collect Serbian model to bring her to Barcelona after pair met in Ibiza Champions League...
0 Reactions
48 Replies
9K Views
Wiki iliyo pita niliweka uzi huu: https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/746830-sitti-mtemvu-afanye-kama-tupac-2.html Leo nakutana na habari hii, hapa chini. Amefuata ushauri...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Mambo ya Urithi! Moja ya nyumba mbili zilizoachwa na marehemu Muhidin Maalim ‘Gurumo' iliyopo Tabata jijini Dar es Salaam, ambayo ndiyo anayoishi mkewe Pili Saidi, ipo sokoni baada ya...
0 Reactions
31 Replies
7K Views
Rapper Gosby ametoa wimbo - Wema Sepetu, amechana sana huko ndani, naomba kama kuna mtu anayo hiyo ngoma atuwekee ili tuweze kuisikiliza vizuri, mimi nimeisikia redioni leo mchana... Diamond...
0 Reactions
43 Replies
9K Views
Mzee wa upako amefunguliwa jarada JMD/RB/11099/2014 kituo cha Polisi Mbezi . Anatuhumiwa Kutishia kumuua kwa Risasi Kijana Robert mkaanga chips Usiku wa Kuamkia jana. Ambapo Mzee wa upako...
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Hongera kaka hongeraaa. Wenye vijiba vya moyo kimewashuka shuuuuuuu. Watasema nini sasa. Haoooooo
0 Reactions
140 Replies
26K Views
Kim Kardashian dresses have always been the talk of the town in the fashion world. Whatever she wears, becomes a fashion statement. Paparazzi follows Kim dresses day n night and went crazy when...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
I saw this report online and to be honest I was shocked at how much this men who seem so playful are raking into their accounts just for making people laugh. In the words of Ali Baba, the...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
MAMA wa aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kama kuna msanii anataka kufikia ' levo ' za mwanaye basi asali sana. Akifunguka mbele ya kinasa...
2 Reactions
140 Replies
19K Views
Msanii wa Hiphop hapa Tanzania,Nikki wa pili amekemea vijana wote walihusika katika tukio la jana ambapo Waziri mkuu mstaafu Jaji Sinde Warioba alipigwa.Katika ukurasa wake wa Instagram,Nikki...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Majanga yanazidi kumuandama aliyekua mme wa muimbaji maarufu Frola Mbasha, akiwa bado ana kesi mahakamani akidaiwa kumbaka ndugu yake hili ndio janga jingine lilimkuta Emmanuel Mbasha. Janga hilo...
0 Reactions
137 Replies
18K Views
Rashid Makwiro a.k.a Chidi Benz ambaye ameachiliwa kwa dhamana Jumatano wiki hii, amesimulia jinsi ilivyokuwa hadi kukamatwa Ijumaa iliyopita Oct.24 na dawa za kulevya kwenye uwanja wa ndege wa...
0 Reactions
45 Replies
10K Views
Mkuu mimi nina tatizo yaani jamaa anasimama dede lakini nikimwambia aingia ndani huwa anakaa au kulala kabisa msaada please. jibu lake ni! kuzoea kuhemewa kisogoni na dawa yake acha mchezo huo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WEMA SEPETU NA AUNT EZEKIEL WAOMBA RADHI KWA PICHA ZA UCHI JUKWAANI Wema Sepetu (katikati) akizungumza na wanahabari katika ukimbi wa habari maelezo jijini Dar kwa nia ya kuomba radhi...
1 Reactions
35 Replies
74K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…