Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Imekuwa ni kawaida sana kwa wasanii wetu wa tasnia mbalimbali kufanya mambo fulani au hata vioja na kupelekea majina yao kutengeneza headlines katika vyombo mbali mbali vya habari (wengine nasikia...
1 Reactions
9 Replies
8K Views
Habari wanabodi.. Leo nimeona niandike hili. Nieleweke kabisa mimi sina timu yeyote hapa.. Hivi majuzi tulishuhudia clouds Media kujitangaza kuwa bila wao diamond asingefika pale na wanajivunia...
5 Reactions
43 Replies
7K Views
Naamin kua kila m2 hupenda sana kufatilia na kutazama maigizo yanayorushwa kuptia v2o mbal mbal vya runinga,ss kuna katabia ka1 hua naona ni bora waachane nako yan utakuta lbd igizo linarushwa na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wasanii hawa kwa taarifa za ndani ni kuwa wamechaguliwa kuwa wajumbe wa kamati ya kitaifa ya katiba mpya kuelekea kura ya ndio wakiwa na Prof Costa Mahalu, Dr Bana, Kingunge, William Lukuvi na...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Mtoto wa Baakhresa Kaleta gari special edition yenye thamani ya us 500,000/ sasa sijui kuna ukweli juu ya hili?? Source:BongoClan™ : TAZAMA PICHA ZA GARI LA SH. MILIONI 805 LINALOMILIKIWA...
0 Reactions
142 Replies
33K Views
Mjini Msingi kiuno , Kauli inayodhihirishwa na Zari hapa kwenye hizi picha , Zari amenaswa na mpiga picha wa Diamond akikagua mali zake kama zipo salama
2 Reactions
37 Replies
13K Views
Jamaa anapenda sana mziki.Lakini inavyoonekana mziki haumpendi. Ameshajaribu kutoa ngoma kibao. Lakini hazifanyi vizuri kwenye game. Hebu tumshaurini huyu jamaa wapi anabugi na nini afanye ili...
2 Reactions
46 Replies
10K Views
Habari wanabodi, Jana nilikuwa naangalia kipindi cha 5gears cha clouds TV kinachorushwa kila jumatatu saa tatu na nusu usiku(marudio 7:30/8:00 mchana Jumanne/Jumamosi),nilishangaa kumuona Matonya...
2 Reactions
52 Replies
23K Views
Vijana wa Yamoto Band jumamosi iliyopita Walipiga Bonge moja la Show huko UK London katika Ukumbi wa Royal Regency na kuhudhuliwa na watu kibao wanaoishi huko, Hizi ni picha za matukio katika...
0 Reactions
18 Replies
10K Views
Akiwa amepost kwenye ukurasa wake Istagram, kwa kumtakia R.I.P Captain John Komba amejikuta akifunguka kuwa yeye ni mwanachama wa CCM.
0 Reactions
60 Replies
9K Views
Msanii wa bongo flava Seif Shabani "Matonya" amefungua mwaka 2015 kwa aibu kubwa baada ya picha kuvuja kwenye mitandao ikimwonyesha akiwa amelewa chakari hajitambui. Picha hiyo inasemekana...
1 Reactions
50 Replies
12K Views
Mara nyingi huwa tunazipata picha za wasanii wetu waimbaji wakiwa wameshika microphone wanaimba au kuchana mistari. Kutokana na wao kuona picha za marapa wengine jinsi wanavyoshika maik nao huiga...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
huu in uchunguzi usio rasmi nloufanya, nimegundua kuwa machiz wengi wanam-diss bieber sasa cjui kama ni wivu au in vipi
0 Reactions
34 Replies
10K Views
Ni mifano mingi tumeona pindi msanii au mtu yeyote yule ambaye amefikia umri wa kuanzisha familia inapotokea amefariki bila hata ya kuacha angalau mtoto mmoja ambaye atakuwa faraja kwa familia au...
1 Reactions
34 Replies
7K Views
Leo kuna mtu kaniambia msome Mange kaongea kitu kizuri sana, nikampuuza ila aliponipa brief ikabidi niingie kumsoma.. Kwa kweli huyu mama uwa simkubali mpaka nakufa ila kaongea kitu cha msingi...
15 Reactions
96 Replies
15K Views
Gauni limeibiwa hotelini alikipwa alivae na Calvin Klein .Dah tuombe lipatikane jamani lisimtie nuksi dada wa watu . Lupita Nyong'o's stolen Oscars dress has been returned to the scene of the...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Nifahamisheni huyu jamaa ana umaarufu gani hasa? Nimekuwa nikisikia akitajwa sana na vyombo vya habari kuwa amekamatwa, nijuzeni
0 Reactions
47 Replies
23K Views
Habari wajameni kwa mara ya kwanza kama Mtanzania niliekerwa na wabongo kufanya video nje ya nchi South Ulaya na America. Naomba mimi mfalme Simba ni direct video ya wimbo huu wa Chekecha...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Naomba tupendekeze nani ktk kundi la wasanii wa kibongo anaweza kua na sifa za kuongoza nchi, ukilinganisha na namna anavyo jitoa ktk tasnia yake.. Tunaweza kumuelezea kwa vipengele kama hivi...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Mnyama ana tuhuma ya kumtumia msichana ili amuue ali kiba,amehojiwa na clouds fm akiwa kituon na kukanusha madai hayo na kusema hajui chochote na he has nothing against ali k,hawajawah kugombana...
0 Reactions
39 Replies
17K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…