Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mwenyewe aapa mtaipenda Baada ya kama RONALDO sasa hivi ni Kama NINJA!
6 Reactions
88 Replies
14K Views
Vanessa Mdee. Maarufu kama Vee money yeye ni recording artist, rapper, songwriter, na mtangazaji wa vipindi vya television na redio,mitandao mengi ya huko nchini Kenya ili ripotiwa kumfananisha...
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Salaam wanaJF, Kuna msanii mwenye kipaji cha hali ya juu lakini hana bahati, hapa namaanisha kuwa nyimbo zake hazichezwi sana redioni wala kwenye TV. Lakini ukiangalia nyimbo zake Zina ujumbe...
1 Reactions
34 Replies
30K Views
NEWZTANZANIA.: USWAHILINI MATOLA..WAMEPOTELEA WAPI? Jamaa walikuwa wakali sana miaka ile, Pini lao la HAKUVAA KONDOMU lilibamba sana. Walikuwa wanaweza sana na albamu yao ilibamba pia. Je,wako...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Hello wakuu! Mimi ni mfuatiliaji wa Music. Katika siku za hivi karibuni umezuka ugomvi kati ya Birdman na Lil Wayne. Natamani sana kuelewa chanzo chake kwa mtazamo wangu nahisi hawana ugomvi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
CHINEKEEE NAANZAJE KUMVOTIA MNAIGERIA MBELE YA MTANZANIA KWA MFANO??? Guys, acheni haya mambo jamani…. Mnaenda too far with this jamani… Tunajiaibisha sana watanzania… Busy...
7 Reactions
150 Replies
17K Views
Kim K met her friend Serena Williams in front of Harrods, they said hi to each other, both hugged and Serena asked for permission to touch Kim K's tummy. Kim allowed Serena to touch her tummy...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni kijana mwenye mawazo mapana sana japo umri si mkubwa sana , anasema siwezi kuwa na mapenzi ya chama ikiwa nchi ni masikini sana. ''Nimebahatika kwenda nchi tofauti nchi yetu ni masikini sana...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Kwenye ukurasa wa instagram wa mzazi mwenzie na Sugu anaefahamika kwa jina la Faiza ameandika kilio chake jinsi anavyoumia kuwa mbali na Sugu, uku akisema analia kwa sauti siku nzima. Sugu...
1 Reactions
116 Replies
31K Views
  • Closed
Huyu mama yuko UK sasa mwaka wa Pili anasoma pale Westminster. Lakini cha ajabu hatumuoni kwenye misiba wala magonjwa lakini anaonekana sana kwenye mikutano ya kufungua matawi ya CCM uingereza...
0 Reactions
115 Replies
24K Views
Katika kazi za hivi karibuni kati ya mastaa wakubwa zaidi barani afrika King of pop Afrika ya mashariki Diamond Platnumz aka. Chibu dangote toto la kimanyema amezidi kung'ara zaidi juu ya OBO...
6 Reactions
71 Replies
13K Views
Msanii Mkongwe wa Bongo Fleva, Juma Kassim'Nature' ametoa misaada mbalimbali kwenye hospitali ya Zakhem iliyopo maeneo ya Mbagala jijini Dar. Akizungumza na Clouds FM, alisema kuwa ameamua...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Today is annivesary of last moment of MJ. He passed away in his apartment in US. The World still feel him. RIP MJ (Michael Jackson). ================= Michael Jackson death anniversary: Top 10...
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Aliyekuwa mwanamuziki wa Twanga Pepeta,Ramadhani Masanja au Banza stone,anaumwa sana na yuko Mbeya. Habari zinasema kakosa hadi nauli ya kurudi Dar Es salaam. Mkurugenzi wa Twanga pepeta Asha...
0 Reactions
53 Replies
15K Views
DIVA, B 12, MCHOMVU ‘OUT' CLOUDS by GLOBAL Stori:- MUSA MATEJA WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12', Adam Mchomvu na Loveness...
6 Reactions
296 Replies
83K Views
Kama ulikuwa hujui basi chukua hii, staa wa filamu za kibongo, Kajala Masanja alitaka kumlipia dhamana mume wa mwimbaji wa muziki wa injili, Florah Mbasha aitwaye Emmanuel Mbasha shillingi za...
1 Reactions
66 Replies
14K Views
Diamond kwa muda mrefu amekuwa mbunifu sana kwenye kazi yake ambapo amepelekea kuwa mwanamziki mwenye utofauti mkubwa sana na wengine katika vipengele vifuatavyo:- 1. Management yake. ...Ana...
6 Reactions
78 Replies
13K Views
Dah! Nimeingia social media, Wanigeria wanatutusi sana na kutuita kila jina kisa Diamond. Kwanza wanasema tunajipendekeza sana kwao. Mfano mzuri Mondi, coz kila collabo lazima akafanye na...
3 Reactions
96 Replies
10K Views
Siku za hivi karibuni nilibahatika kutembelea nyumba anayoishi mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Bahati Bukuku iliyopo maeneo ya Kibamba, kwa kweli niliogopa, Bahati anaishi kwenye ghorofa la...
0 Reactions
20 Replies
16K Views
Diamond nampenda, Ali K nampenda. Nashindwa jiunga hzi team jamani.
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…