Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Yvonne Cherrie, msanii maarufu wa filamu, Monalisa, ameweka historia baada ya kuhitimu Chuo Kikuu katika fani ya Usimamizi wa Biashara na Miradi, licha ya changamoto za dhihaka na kejeli...
17 Reactions
65 Replies
5K Views
Huyu jamaa hana jipya zaidi ya kukopy mahubiri ya mchungaji Dunstan Maboya. STEVE (anzia 4:56) DUNSTAN MABOYA (Sikiliza 0:30) TUMEKUSTUKIAAAA cha kuiga! huchekeshi bali unajichekesha
12 Reactions
95 Replies
21K Views
Hili wakuone unaimba gospel kweli inabidi kwenye verse moja utamke Yesu mara 200. Uvae mashati ya kung'aa ,chini moka na nk. Hawa wasanii wanaoimba gospel janja kwa walokole siasa kali wanawaona...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Kama mnavyomuona huyu mwamba, inaonekana ana hali mbaya sana, inamaana wale mliokua mnamtumia amchafue Ruge na Cloudz. Mmemtema au?
14 Reactions
91 Replies
13K Views
If you were a fan of Isidingo then you must have watched Tyson who was Katlego's brother and Lincoln Sibeko's brother in-law. Sadly this renowned South African producer and Actor succumbed to...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Familia ya dudu baya (msanii) mtoto wenu anaitwa Wille Yupo analala nje coco beach amedata Kwa kulinda privacy sitoweka Picha yake . Huyu Kijana anatumia Bangi, Pombe , na uchafu mwingine...
26 Reactions
119 Replies
7K Views
Aliyekuwa msanii wa Kundi la muziki la 'One Direction', Liam Payne, amefariki dunia akidaiwa kuanguka kutoka baraza la Ghorofa ya Hoteli aliyokufikia huko Argentina, Jeshi la Polisi...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Ambha anadai kwamba alifanya production lakini hakutoboa akawa ameamua kufunga studio aachane na muziki maana nyimbo zilikuwa hazipigwi na hapati fedha. Sasa akiwa ashaamua kufunga studio, asubuhi...
21 Reactions
185 Replies
7K Views
Kuna video moja nimeona ambayo mchungaji mmoja simjui akimzungumzia swala la muimbaji wa injili matha na Joan kuwafuma wakifanya usagaji yeye matha alikiri kuwa ni kweli ni walikuwa kwenye...
9 Reactions
32 Replies
2K Views
wana Jamvi, Ni suala la kushangaza sana kwa takribani ya miaka mitatu sasa, tumesikia vifo vingi vya wasanii wa Twanga pepeta. Tumekosa sana waburudishaji ambao walizikonga nyoyo zetu. Ni njia...
8 Reactions
277 Replies
55K Views
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza magari ya umeme ya KAYPEE MOTORS, ambae pia ni GenC na mtangazaji kutoka Clouds Media Group, Ally Masoud Nyomwa maarufu kama Masoud Kipanya...
1 Reactions
6 Replies
729 Views
Habarini Huyu jamaa nasikia anamiliki king d auto spares, huenda labda anamiliki king d hotel ya sinza Hizi pesa nyingi watu wanazipataje wakuu.🤔mtu mwenyewe haendani na pesa anazomiliki, mtu...
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Tazama sehemu ya performance ya Msanii Diamond Platnumz kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za CAF 2024 Marrakesh, Morocco Pia, Soma: Diamond Platnumz kutumbuiza katika Hafla ya Ugawaji Tuzo za CAF...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Hasheem Thabeet Diamond Samatta Kanumba Kuwapata vijana Kama hawa sio jambo jepesi.
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Producer Shedy Clever anadai kuwa ana nyumba yake kubwa anayojenga japo hijakamilika kwa 100% ila ni nyumba ya kisasa, nyumba hiyo anasema itakuwa kubwa yenye vyumba 4 na studio ndani,garden...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Habarini Wakuu, WCB is a really music classic group currently, ni kundi ambalo linafanya vizuri mpaka mtu unaogopa hata kuwadis wanamuziki wake kama si kuona aibu kuwaongelea...
10 Reactions
89 Replies
30K Views
Waimbaji wa nyimbo za Injili waendelea kuchafua tasnia ya nyimbo za Injili kwa kuharibikiwa kila kukicha hasa katika maswala ya ngono Tata Hivi karibuni tumesikia mwimbaji wa Injili Martha...
6 Reactions
44 Replies
4K Views
Nawaambia walokole na watu wote mnaopata Sana mikosi Hakuna kitu kinarudisha nyuma Kama uzinzi . Dhambi ya uzinzi inaondoa kibali na unabaki kuwa mtu wa kawaida ambaye hauna impact yoyote...
16 Reactions
43 Replies
3K Views
Yes! No one saw it coming ..wafia dini wanasema eti ni bongo flavor. Hawasikilizi message. Hii hapa... Kaka Joel mimi binafsi nlikua sikujui, ila kuna siku nlikuta wimboo huu unapigwa mahali...
5 Reactions
63 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…