Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Muigizaji na mshindi wa tuzo ya oscar, lupita nyong'o, hvi karibuni amepata shavu jingine kubwa ambapo sura yake itaonekana kwenye jarida maarufu nchini marekani linalodeal na mambo ya fashion na...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Daah,sijui kama ingekuwa jamaa yetu wangefika kweli!Pia wadau tujuzane wasanii ambao wameshatinga magogoni awamu hii ya 5!Sijaona post hata moja ya msanii akiwa na JPM 2016
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Msanii Mataluma aliye wahi kubamba na ngoma zake kama vile ,mama mubaya, na kariakoo ameamua kurudi rasmi kwenye mziki baada ya biashara iliokuwa ikimuweka hapa mjini ya kuuza mkaa kumdodea...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
BARUA KWA DIAMOND PLATINUMZ na MAMA YAKE MZAZI Mbeya region P.O.BOX 0759209081 MBEYA Dear diamond.... sina imani we ni mzima wa afya kutokana hasa na mambo unayofanya kiukweliii katika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwanamuziki Esterina Sanga maarufu kwa jina la Lina ameamua naye kulipa kisasi kwa Wema kwa kumchukua mpenzi wa Wema aitwaye Idrissa Sultani Linah kaamua kufanya hivyo kwa kuwa Wema siku za nyuma...
2 Reactions
103 Replies
23K Views
Msanii mkongwe wa muziki Matonya ameweka wazi ujio wa kundi lake jipya ‘Black Image’ likiwa na project mpya ‘Mr Magufuli Legeza Kidogo’. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo...
3 Reactions
7 Replies
5K Views
Mara baada ya Zarina mwana wa Hassan kupost ujumbe wenye utata kuhusu watu wanaomnyatia nyatia poozo lake la moyo Chibu dangote ambao ujumbe huo kwa namna nyingine ulionekana kumgusa Huddah Monroe...
2 Reactions
342 Replies
44K Views
Hawa clouds ni kiboko kwa wizi! Hii idea yao fiesta inayosema imoooo, ni idea ya Jose mtambo (msanii wa hip hop),huenda hata huyu msanii hajui ya kwamba kaibiwa kimstari chake. Sasa ni hivi nenda...
3 Reactions
31 Replies
5K Views
1:Diamond na Wema 2:Diamond na Zari 3:Wema na Idriss 4:Baraka da prince na Najma 5:Aika na Nah reel 6:Ali kiba na Jokate...
1 Reactions
50 Replies
12K Views
AFANDE SELE NI RASTA,MWANAHIP HOP AU MPAGANI !!!!? *kila mstari wake aliotaja Mungu weka Jua. Imani ni kuwa nayohakika kwa mambo yanayoonekana nayasiyooneka.Kila utamaduni una...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimekutana na taarifa hizi za huyu Kaka'etu kuteuliwa kuwa mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mbulu. Zina ukweli wowote au ni propaganda feki tu za mtaani? Kama ni kweli, Hongera sana...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Jamaa ana katabia fulani ka ajabu sana.ni mtangazaji mzuri sana tena sana.ila huwa anakera sana inapotokea anaitambulisha ngoma ya msanii hasa yule ambaye anampenda yeye.utamsikia...
7 Reactions
65 Replies
13K Views
Huyu msanii ni moto wa kuotea mbali, Hebu sikiliza hiki kibao aliimba kuhusu ufisadi wa awamu ya nne. Wasiomjua ndiye alieimba-sumu ya teja.
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Kanye West kicked off his Yeezus tour at Seattle's Key Arena on Saturday night by bringing Jesus out on stage. According to MTV News, "Jesus" walked on stage before Yeezus performed College...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama ambavyo wewe umeshtuka, nami nilistuka hivyo hivyo kusikia habari za chini chini kumhusu huyu jamaa wa Bongo Movie aliyetamba sana miaka mitatu kurudi nyuma.. Nimekuja kuuliza tu kwa kuwa...
3 Reactions
62 Replies
23K Views
Ali Kiba na Diamond wote walifanya show Mombasa Kenya, aliyemfunika mwenzake sijui alikuwa nani, wadau watuambie Ya Ali Kiba ilikuwa hivi Ya Diamond ilikuwa hivi
1 Reactions
33 Replies
18K Views
wenzangu karibuni jukwaani aka bungeni tujadili kwanza suala la aka katoto kadogo jinsi kanavyokuja kwa kasi mujini, nani anayempa jeuri ya matanuzi ya kutisha mjini? Maana bata anazokula huyu...
9 Reactions
106 Replies
26K Views
hivi kuna staa mwingine Afrika mashariki ni mrembo na mzuri kumzidi huddah maana huyu binti huwa nachungulia picha zake kwenye page yake naona kila siku anazidi kuwa mrembo na mzuri,ki ukweli...
12 Reactions
121 Replies
35K Views
Msanii wa filamu Elizabeth Michael leo 7 Feb alifikishwa mahakama kuu kanda ya Dar es salaam kwa kesi ya mauaji ya bila kukusudia,kwamba April 7 2012 maeneo ya Sinza Vatican mshtakiwa alimuua...
0 Reactions
11 Replies
11K Views
Touching words! This letter goes out to.. to the seeds that I might not get to see cause of this lifestyle And I'm sorry for not bein there Just know your daddy was a soldier, me against the world...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…