Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kisu kikali ni tafsida tu nikimanisha kisu kikali ni chochote alichonacho mwanaume kitakachomchanganya mwanamke either pesa, mahaba, six packs, dushe kubwa, kibamia, good sex, rough sex, etc etc...
1 Reactions
92 Replies
16K Views
Habari wanajamvi, kwa wale wahenga na wafuatiliaji wa habari za showbiz za miaka hiyo leo tukumbushie kidogo story zilizokua 'hot' kipindi hicho, magazeti ya udaku kama Kiu, Uwazi, Ijumaa na...
1 Reactions
30 Replies
1K Views
Hii ni thread maalum ya simulizi mbalimbali pamoja na visa, mikasa na vitimbi vya wasanii wa zamani wa bongo fleva. Stay tuned....
8 Reactions
45 Replies
4K Views
Bishop Masanja Mkandamizaji amefunguka kwa uchungu..... "Nimeona story ya Kuchomoa gari!! ninachojua Nabii @geordavietv amewapa Magari watu Kadhaa!" Ameendelea kusema.... "Ombi langu kwa...
16 Reactions
113 Replies
6K Views
Zlatan Ibrahimovic ameonekana mitaa ya Jiji la Milan akiwa kwenye gari lake aina ya Ferrari SF90 Stradale, ambalo thamani yake inatajwa kuwa ni £400,000. Kiwango hicho cha fedha kwa thamani ya...
11 Reactions
76 Replies
6K Views
Habari. Nje na mahubiri na kujihusisha na injili je mchungaji Tonny kapola ana kitu gani kingine cha ziada maishani mwake. Lifestyle,muonekano wake na maisha yake mfano Gari lake Lile...
9 Reactions
51 Replies
5K Views
Huu wimbo ulikuwa una vibe kali sana enzi hizo lakini tuliishia kupenda tu namna wanavyo flow, mashairi yalitupa mtihani kuyaelewa. Verse 1: (Luteni Karama) Hili daruga Kichugachuga Ung'eng'e...
20 Reactions
38 Replies
2K Views
Leo katika pita pita zangu nimekutana na hii post ya Harmonize akiongelea mtu kutumia madawa ya kulevya na mtu huyu direct ni Dimond. Je kuna ukweli wowote au ni hasira za Harmonize kuambiwa...
16 Reactions
558 Replies
70K Views
Kimbal Musk ni mfanyabiashara, mwekezaji, na mfadhili maarufu wa Afrika Kusini-Marekani. Alizaliwa tarehe 20 Septemba 1972, huko Pretoria, Afrika Kusini. Ni mdogo wa Elon Musk, mwanzilishi wa...
6 Reactions
8 Replies
1K Views
"Tunalipwa milioni 20 show moja, tunalipwa dola elfu 25,000 show moja, hii ni zaidi ya madawa ya kulevya," amesema Tale. "We get more money from music, sio kwenye madawa ya kulevya...
0 Reactions
96 Replies
23K Views
Kumekuwepo na tetesi nyingi kuhusu utajiri wa Diamond umefikia kiasi gani. Hilo ni swali ambalo hajawahi kulijibu kwa uhakika zaidi ya kutoa tu hints na kuwaacha wanaouliza kubaki na majibu yao...
3 Reactions
211 Replies
36K Views
Makala ya Raia Mwema lina habari ya kufikirisha kidogo: Mwandishi anauliza " Diamond ana fedha, lakini anauza nini?" Hata mimi nimejikuta nikiuliza swali hili mara nyingi tu bila majibu. Wengine...
4 Reactions
119 Replies
21K Views
Wote ni mapastor lkn nani anakukosha Zaidi?
4 Reactions
78 Replies
3K Views
Huo ndo ukweli wakuu au mnasemaje? Ukiondoa mambo ya itikadi ya vyama huyu mwanamume alikuwa anaimba aisee acha kabisa. Skiza kitu hiki hapa Sasa kumekucha 👇👇...
2 Reactions
15 Replies
841 Views
Katika mahojiano yake ya kwanza aliyofanya kupitia Gozbet Ministries ameeleza sababu ya kuchoma gari lake moto. Soma, Pia: Mtume kanisani kwa GeorDavie afichua ukweli ishu ya nyota na gari...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Siku za hivi karibuni nimeona wasanii wa kidunia wakijitokeza kwa manabii sio kwamba wanaokoka na kumrudia Mungu hapana tumeona shughuli zimeendelea kama kawaida kufanya anasa Diamond na clear...
0 Reactions
6 Replies
601 Views
Ugonile.. Mwaka Jana nilienda Zanzibar kwa ajili ya vacation na mchepuko wangu, wiki niliyofika ndo kulikua na maandalizi ya Tamasha la Mama Kizimkazi ambapo sehemu niliyofikia pia ilikua kwenye...
18 Reactions
100 Replies
5K Views
Walikuwaga power couple bongo movie enzi hizo. Nakumbuka mamaa alivyokuwaga anapambana kumtibu mumeo sajuki kwa muda mrefu haki kifo chake. Wastara pia alipataga ajali ambayo ilipelekea yeye...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Komando kipensi alikiwasha sana akiwa kwenye ubora wake pale Clouds Bad luck ni kama kila kitu kimegeuka kwa sasa
9 Reactions
75 Replies
6K Views
Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro. Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo. Kwangu mimi...
16 Reactions
163 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…