Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hatimae urafiki wa Wema Sepetu na Munalove wafika ukingoni. Huko Instagram yazuka maneno mengi kuhusu Muna kumloga Tanzanian sweetheart ni pale Munalove alipoiba chupi ya Wema Sepetu na kuipeleka...
3 Reactions
224 Replies
38K Views
1.SAM MISAGO vs B-TWELVE 2.ADAM MCHOMVU vs ABDALA(dulla wa planet bongo) *hawa jamaa wanaendana sana kiutangazaji bila kusahau 'swaga' na wote wako hot kiukweli(wanajua),yupi anakukosha zaid...
2 Reactions
118 Replies
35K Views
Tiffany Trump (23) ni binti wa Donald Trump kutoka kwa mke wake wa pili Marla Maples, mwigizaji wa zamani na nyota wa Televisheni. Mrembo huyo ambaye amefuzu chuo kikuu hivi karibuni, alikuwa...
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Wadau najaribu kufatilia kipindi kipya cha salama jabir "ngazi kwa ngazi" dizain naona km sikielewi elewi hivi hakina mvuto ule wa ubora wa salama au ndo uzee.....!!
4 Reactions
41 Replies
5K Views
  • Closed
video imevuja ya mwadada Sepenga akifanya yake ,juzi kati alihojia juu ya mahusiano yake na Calisah alimkana akasema ni rafiki sasa leo video imevuja huko instaa kila page inatembea anakiss na...
2 Reactions
155 Replies
43K Views
Hichi kitu huwa kinanishangaza sana ikitokea mtu ukiwa unapost habari kuhusu wasanii watu wanakuita mbeya lakini ukitoa habari za wanasiasa hauitwi mbeya , tuchukulie mfano juzi magufuli alienda...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Closed
Aisee huu wimbo wa Salome ni Shida sana mtaani kuanzia kitaa, club na bar..!! KwA wiki tatu sasa hii ngoma bado inasumbua mtaa. Miye ni Timu Tanzania, japo ukweli ni kuwa Daimond huwezi...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Alikiba amesema tatizo lililopo kwenye muziki wa Tanzania, ni baadhi ya nyimbo nzuri kutopewa nafasi ya kusikika kama zinavyostahili. Ametoa kauli hiyo wakati akihojiwa kwenye kipindi cha...
3 Reactions
52 Replies
5K Views
Masanja huyu huyu aliyekuwa akiwacheka wenzake kuwa wamefulia, sijui wameloweka, hivi karibuni ameonekana 'akihaha' kutafuta pesa kwa udi na uvumba! Huyu si ndo alikuwa anawachapa vijana viboko...
10 Reactions
118 Replies
20K Views
12 Novemba 1938 - Rais Benjamin William Mkapa, anazaliwa Ndanda, Masasi, Tanganyika. Kiboko ya UKAWA. Tujikumbushe kauli zake Huyu simba wa Vita
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Hayawi hayawi sasa yamekua... Nuh na Nawal wafunga ndoa... Hongera Nuh na mkeo Nawal....
6 Reactions
77 Replies
56K Views
Muigizaji maarufu nchini India Kareena Kapoor asilimu,Sasa hivi ni Mwislamu. Pia ni ndugu yetu katika Imaan. Allah amfanyie wepesi ili aishi katika misingi ya Dini yetu ya...
16 Reactions
58 Replies
11K Views
huyu jamaa ni nani? namsikia tu wana mtaja sana wasanii kwenye nyimbo zao, au ndo wale ma papaa wa mjini. Kama kuna anae mjua naomba atupe kapicha kidogo
0 Reactions
15 Replies
8K Views
  • Closed
Je hilo swala ni la kweli kuwa diamond ameanza kuonyesha dalili za kumuogopa alikiba coz ukiangalia hata kwenye tamasha la fiesta alikimbili Nigeria pia kwenye tuzo za eatvaward kama kakimbia ivi...
2 Reactions
160 Replies
14K Views
Karibu kwenye Tecno Live na Salama Jabir. Kuwa huru kuuliza maswali yako kwenye comment.
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Sauti Sol ni kundi la muziki la nchini Kenya likijumuisha waimbaji Bien-Aimé Baraza, Willis Chimano na Savara Mudigi pamoja na mpiga guitar wao Polycarp Otieno. Navy Kenzo ni kundi la nchini...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Guys mniwie radhi kama ntawaboa,lakini nimeona nijue hili.kwani hakunaga dogi fj!!.Tumeona hapa mbongo kuna watu hata ukiskia saut yake tu,au kuona picha yake unamtambua hata kama hukuwahi kumuona...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…