Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kama mdau wa muziki nimekuona nikimuangalia huyu mwanadada tangu alipotoa ile Come over nikaona ana kitu. Jana nikiwa katika page ya nako 2 nako niliona wametoa wimbo mpya na kuutazama lazima...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Wizkid ameshangazwa na bei ya midoli ya ngono ‘Sex Dolls’ ambapo amesema kuwa bei ya midoli hiyo ni kubwa kulikuwa hata gharama ya kununua wanawake wanaojiuza...
2 Reactions
109 Replies
24K Views
Kwa wanaowafahamu ndugu zake na Konde boy Mtwara halafu Dogo akifika Dar anagawa Pesa kwa wengine inaniuma sana hata kama siyo ndugu zangu! Ingefaa dogo aanze kuwasaidia ndugu zake kwanza wote...
14 Reactions
110 Replies
17K Views
Nasema kwa sababu moja tu ya msingi ambayo hata mm team mond inataka kunichanganya. Kwa huu mwaka mond kajitahid sana kutoa ngoma nyingi nahisi baada ya aslay yeye ndo anafata kwa kutoa nyimbo...
2 Reactions
66 Replies
9K Views
There is a young man from Mtwapa, Mombasa who has left many social media shocked by how much he resembles Diamond Platnumz. The fella who is a bodaboda rider goes by the name of Patrick as...
6 Reactions
38 Replies
9K Views
Email ThisBlogThis!Share to TwiShare to Facebo
1 Reactions
186 Replies
35K Views
Mwanamitindo wa kimataifa Amber Rose anatarajiwa kufanya upasuaji wa matiti yake hivi karibuni. Mrembo huyo ambaye alitangaza kuchoshwa na ukubwa matiti hayo ameamua kutilia mkazo suala lake la...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mpaka leo hii navyoandika hapa Deadbody sijawahi kuona kundi la muziki la wanawake kama hili Ni kundi lililojumuisha wadada watatu wakijulikana kama DESTINY CHILD Beyonce Knowles Kelly...
2 Reactions
62 Replies
10K Views
Kwanza kabisa nikupe hongera Millard ayo kwa kazi nzuri unayofanya ya uandishi wa Habari. Wewe una kipaji kikubwa sana. Presenter millard Ayo ndio anayetajwa kuwa mtu anayepokea royalities za You...
43 Reactions
310 Replies
113K Views
  • Closed
Mzee William akiwa na marehemu mama yake Mzee William akiwa na mama yake wa kambo Pamoja na kutokumkubali Le Mutuz kutokana na itikadi za kisiasa. Lakini nimeumizwa sana kejeli dhidi yake...
35 Reactions
131 Replies
27K Views
Mnalalamika watu wanawaonea oneni sasa nini hiki!? Kweli kidume anamwambia mkewe ahustle kwa bidii ili wasije kosa hela!? You hoes ain't loyal kabisa! Oneni akili za wanaume wa Dar!
7 Reactions
111 Replies
18K Views
Yupi msanii wako bora 2017 Mimi kwangu ni Saida Kalori omwana wabukoba(Mtoto wa Bukoba) ... Tinabingi byakugamba ninshaba omkama amwebembele.(Sina mengi ya kusema, namuomba Mungu ambariki)
1 Reactions
45 Replies
8K Views
Hitmaker wa Makulusa, Rayvanny aliyesainiwa kwenye label ya WCB-Wasafi iliyo chini ya Diamond Platnumz, amepatiwa tuzo na YouTube. Na hawa ni baadhi ya mastaa duniani waliopewa tuzo na YouTube...
3 Reactions
14 Replies
7K Views
Kwa kweli huyu mrembo unapomfananisha na bibi kizee wa Uganda ni kumkosea heshima Mobeto! Tumia dakika mbili kumuangalia na wewe
4 Reactions
40 Replies
7K Views
Mwanadada mwanamitindo na mwigizaji maarufu nchini, jackline Wolper Massawe ametangaza makubwa ujio wa ndoa yake inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni mara baada ya kuwa tayari ameshatolewa...
3 Reactions
83 Replies
11K Views
Msanii Ali Kiba anaye amezindua biashara ya kuuza kofia aina ya Cap huko Nairobi Kenya, gavana wa Mombasa Hassan Joho ameonekana akizipigia promokwa kuzivaa Ali Kiba pia ameibuka kididea kwenye...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Kutoa ni moyo na wala sio utajiri. Rapper Sean John Combs maarufu kama P Diddy amechangia kiasi cha dola 100, 000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 224 za kitanzania. Msanii huyo ametoa fedha...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Inasemekana hali ya steve nyerere bado sio nzuri ,aomba kama kuna aliyemloga amsamehe ======= Dar es Salaam. Msanii wa Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema ana wiki mbili yupo...
3 Reactions
257 Replies
82K Views
Inasemekana ule msemo wa chenye mwanzo kina mwisho umetimia kwa hii couple ya diamondplatnumz na zarithebosslady imevunjika rasmi,chanzo cha mvurugiko huo ni usaliti wa diamondplatnmz Inasemekana...
11 Reactions
114 Replies
21K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…