kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Nasema kwa sababu moja tu ya msingi ambayo hata mm team mond inataka kunichanganya.
Kwa huu mwaka mond kajitahid sana kutoa ngoma nyingi nahisi baada ya aslay yeye ndo anafata kwa kutoa nyimbo nyingi lakin zote uhai wake umekuwa mdaogo sana na zikizima zinazima kweli.
Cha kushangaza zaidi jamaa amekuwa akitrend sana kwenye mambo ambayo hayahusiani kabisa na mziki mm nayaita mambo ya kipuuzi maana utamuona anajirekod yupo fargha na mpenzi wake anapost ndo utaona watu wanamuongelea karibu week nzima kuhusu izo mambo. Lakini akitoa wimbo watu hata hawashtuki kabisa. Ndo swal langu sasa linapotekea je tuseme kuwa mond now siyo mwanamziki bali socialite maana anapata attention kubwa kwny mishe za mitandaoni kuliko kazi yake.
Kwa huu mwaka mond kajitahid sana kutoa ngoma nyingi nahisi baada ya aslay yeye ndo anafata kwa kutoa nyimbo nyingi lakin zote uhai wake umekuwa mdaogo sana na zikizima zinazima kweli.
Cha kushangaza zaidi jamaa amekuwa akitrend sana kwenye mambo ambayo hayahusiani kabisa na mziki mm nayaita mambo ya kipuuzi maana utamuona anajirekod yupo fargha na mpenzi wake anapost ndo utaona watu wanamuongelea karibu week nzima kuhusu izo mambo. Lakini akitoa wimbo watu hata hawashtuki kabisa. Ndo swal langu sasa linapotekea je tuseme kuwa mond now siyo mwanamziki bali socialite maana anapata attention kubwa kwny mishe za mitandaoni kuliko kazi yake.