KUTOKA KWA:MSANII JOTO LA MOTO
Ninajitokeza mbele,ninalo la kueleza.
Yule Simba wa Tandale, nataka kumpongeza.
Nimpe yake kongole,kwa kazi anavyoweza.
Msanii Dayamondi,hongera kwa hapo upo...
Join Date : 24th September 2010
Posts : 15,170
Thanks 1,517 Thanked 2,374 Times in 1,520 PostsRep Power : 53
Huyu jamaa anastahili pongezi na sifa kubwa, kwa kipindi cha miezi mitano (5)...
Tafadhali ninashida yakukutana na huyu Dada... It's all about business..
Mwenye kujua nitampataje ani PM, ama Dada Kama unapita humu Tafadhali nakusihi nahitaji kukuona kibiashara.
Ahsante...
Waziri Mwakyembe amesema hayo bungeni jana, sasa nikajiuliza hivi kama Mtu alishakosea kwenye mikataba itawezekana ku review na kunufaika upya?
Au hao "waliomnyonya" watumie tu uungwana na...
Penye ukweli lazima pasemwe,
Maisha ya muziki yamebadilika sana ni tofauti na ya zamani. Huwa nahuzunika naposikia Interview ya msanii fulani wa zamani akisema "sahizi nipo mbioni narudi nina...
Hit maker wa ngoma ya bora iwe Rommy Jones ambaye amemshirikisha Baraka the prince mpenzi halali kabisa wa ex wa Mr Blue hapa namzungumzia Naj , Rommy Jones ameibua hisia za chuki kwa baadhi ya...
Taarifa za uhakika kabisa nilizopata toka kule madale ni kwamba hali sio shwari kwani msanii wetu mkubwa yuko katika ugomvi mkubwa na mamaye chanzo kikiwa ni mama mtoto wake Mobeto.Inasemekana...
Msanii Davido amemzawadia mpenzi wake Chioma zawadi ya gari aina ya Porsche katika maadhimisho ya siku yake ya kuzaliwa.
Gari hiyo ina thamani ya takribani Naira Milioni 45 ambazo ni Shilingi...
Msanii Jebby amefariki dunia leo akiwa nyumbani kwao Dodoma. Imeelezwa kwamba siku kadhaa zilizopita Jebby aliomba kurudi kwa Dodoma baada ya hali yake kuwa mbaya. Taarifa za awali zinasema...
Ni Abdi Banda anatarajia kufunga ndoa na dada ake Kiba, Zabibu baadae mwaka huu, hii ni baada ya kaka yake kufunga ndoa. Pongezi kwake Abdi Banda
==
Abdi Banda kwa sasa anachezea timu moja huko...
Wana Jf Wasalaam
Wakati wa kuaga mwili wa Agness pale Leaders msanii Rammy Galis aliyewahi kuwa mpenzi wa Marehemu aliishiwa nguvu hadi kupelekea wasanii wenzie kumbeba lakini kilichoacha...
Wakati Rais Magufuli hushangaa Majaji kuwa na fedha za kutosha kumudu kwenda likizo nje ya nchi, Waziri wake Mh.Hamis Kigwangallah ametoa ahadi ya kulipia honeymoon ya wanandoa Ali Kiba na mkewe...
Huko kunako mtandao pendwa wa Instagram kumeibuka mfululizo wa picha za mwanadada murembooo wa haja anaekimbiza kweli kweli, nimejiuliza mara kadhaa huyu ni nani, ni mwanamitindo, ni video vixen...
Leo ndio ule usiku tuliokuwa tukiusubiria sisi mashabiki wa muziki mzuri.
Maharusi washaingia ukumbini, kwa sasa First Lady Mstaafu, Bi Salma anawapa vijana mawaidha.
Kuna watu maarufu wengi...
Wakuu hii trend ya nyimbo za mapenzi mapenzi mbona zimeshamiri sana ndio kusema burudani pekee ni kugegeda tu?
Wasafi
Alikiba
Aslay
Nawengine wote wekeni hata idea/story zingine basi