Hata yeye amewahi kukiri mpenzi wake lady jaydee amewahi mtuhumu na scandal ya ushoga Ila yeye akapotezea, now picha yake na shoga maarufu Nigeria , bob risk imesambaa ikiwaonyesha wawili hao...
Video kaliii..kutoka WCB wasafiiiii chama la wana Rayvanny ft diamond platnumz ..
ngoma ina kwenda kwa jina la MWANZA.. ikiwa ime tumia LOCATION kutoka MWANZA ila tukaona sio mbaya tukiwaacha...
habari za asubuhi ndugu wana jf, natumaini mu wazima wa afya, niende moja kwa moja kwene hoja
asilimia kubwa wasanii wanaotoka mwanza ndio wanaopotea kwene game kiurahisi na sijui nini kina...
Salama wapendwa wangu.
Naomba kuuliza kitu.
Mbona hizi picha za wasanii kwenye mitandao ni weupe sana kama wazungu ila ukikutana nao live weusi kama mimi tu.
Nimewakilisha baadhi ya wanaume...
Kudadeiki WCB noma sana,
Ni jiwe baada ya jiwe, ngomaa baada ya ngoma huku kukiwa pe ya Konki konki konki master kwa mbali, yaani ni full full hata wale waliobaniwa airtime,huku unamsikiliza...
Msanii Harmorapa amefunguka na kuingilia ishu ya Dudu Baya kuwataja mashoga katika mitandao ya kijamii.
Harmorapa anasema kuwa kama Dudu baya anajifanya kupambana na Mange kimambi baada ya...
Baada ya kuwa katika upinzani wa muda mrefu, hatimaye wasanii nyota nchini Tanzania, Diamond Platinum na ALIKIBA wamekutana na kumaliza tofauti zao za muda mrefu.
Hatua hiyo imepokelewa kwa...
Amefanya unyama huo na kutokomea kusiko julikana, kampiga kisu cha sikio mamake na kuliacha sikio linaning'inia kisa eti anamroga ndio maana nyimbo hazivumi.
source : clouds fm
Raha ya kuachwa jaribu kuchagua mpz ambaye hata ex wako akimuona au akimsikia roho inamuuma na sio kutafuta bwegeee..
Asilimia kubwa hilo hatulijui muumize ex wako kwa kutoka na mtu aliye juuu...
Kwanza: kabisa nianze na wasafi fm ambayo ipo nyuma ya Paul makonda,
hawatoweza hata siku moja kuizima CLOUDS fm ingawa wana Matatizo Yao ikiwemo kuwanyonya wasanii watu wengi tuliamini E fm ndo...
Wentworth Miller, Maarufu zaidi kama Michael Scofield
Mwigizaji Victor Garber
Ricky Martin
Adam Lambert
Anne Burrell na patna wake
Neil Patrick Harris na patna...
Habari zenu wakuu kwema??..Ni hivi kume kuwa kuna huu msemo ni wa mda kidogo unaitwa Konk huu msemo ni msemo wa miaka kama 3 au mi 4 ivi imepita na huu msemo muanzilishi wa huu msemo ni Huyu dogo...
1. Ali kiba
Moja kati ya wasanii ambao wamejaaliwa kipaji na sauti nzuri ila jamaa anajiamini kupita kiasi na ili akubali ushauri au idea ya kuendeleza kipaji chake nguvu kubwa sana inahitajika...
Sam Mahela ni kijana bora kabisa anayechipukia kwa kasi zaidi ktk tasnia ya habari nchini.
Kijana Sam asipoonekana kwenye taarifa ya habari ya saa 2 pale ITV usiku wangu ukosa raha.Zaidi sana...
Mtoto wa Konki konki konki Master Dudu Baya amefunguka kuhusu tuhuma zinazomkumba baba yake za kumuhusisha na ushoga na kusema baba yake siyo shoga. Wille amesema anachofanya baba yake ni kuwataja...
Bondia asiyepigika mwenye pesa chafu ambaye pia anashika namba moja kwa wanamichezo walioingiza pesa ndefu zaidi mwaka huu pia anashika nafasi ya tatu kwa wanamichezo wenye pesa zaidi duniani...
Pancho Latino maarufu 'Mafia' amefariki dunia kwenye ajali ya kuzama kwenye maji wakati anaogelea kwenye kisiwa cha Mbudya, jijini Dar es Salaam
Pancho alikuwa mtayarishaji wa muziki katika...