kweli ukishangaa ya beyonce,utayaona ya drogba,drogba amewazawadia wachezaj wa chelasea pete zenye thaman ya pound 800,000 wachezaj wa chelsea.
wapo watu wamesema hiyo pesa angesaidia...
Jamani nauliza eti hawa watu ni baba na mwana? maana nimezisikia hizi habari mtaani, naomba mwenye ukweli anijuze, lengo ni kufahamu tu maana hawa ni mastaa wetu wa bongo.
Maulidi Kwani lazima utumie nguvu?
Hua amekua akitumia nguvu sana hasa vipindi vya asubuhi vya magazeti.
Sasa kuna video clip zake hua anazitumia instergram, akiwa anaonyesha anavyotangaza, kwa...
Msanii nguli nchini Tanzania Alike a maarufu KingKiba ametambulisha rasmi lebal yake ya King Music kwa kuachia nyimbo mpya ya pamoja akiwa na wasanii wake. Enjoy
Msanii Lady Jaydee ameamua kufunguka jinsi alivyoanza harakati zake za kuingia kwenye muziki enzi hizo.
Akiandika mtiririko wa matukio kwa kadri ya kumbukumbu zake, amejikuta akikumbuka tukio la...
Leo Tarehe 26 January
Miaka kadhaa nyuma
Alizaliwa Home boy maeneo
ya Usa River Arusha,
Millard Ayo,Mr.Count down
Dam dam milele Mwenye
sauti yake na Warembo
wake wa nguvu aka
Mzee wa Madem(in...
Aisee.... mimi kwa upande wangu mwaka 2011 movies aambzo ni best kwangu ni:
1. COLOMBIANA
2. NIKITA
3. MISSION IMPOSSIBLE 4
4. ASSASINATION GAMES
5. FLASH FORWARD
mkuu we ni movie zipi...
Mwanamuziki kutoka Marekani Chris Brown amekamatwa na polisi jijini Paris Ufaransa kwa tuhuma za ubakaji.
Imeelezwa kuwa mwanamke mmoja kudai aliwahi kumbaka. Kwa mujibu wa mtandao wa Closer...
Happy Birthday to international singer, Sade! She turns 54 years young today! Sade attributes her youthful look to her vegetarian lifestyle. While she doesn't do traditional workouts, she remains...
Rihanna is giving back to honor her late grandmother, who she called Gran Gran Dolly.
According to E! Online, the singer has donated $1.75 million to the Queen Elizabeth Hospital in Bridgetown...
kati ya mvuta bange na shoga nani unamkubali....?? yani assume wewe ni mzazi ukaambiwa uchague kati ya hao wawili ungewish kuwa na mtoto wa namna gani??
Ule mdundo kicks na drums kazigonga Soggy Doggy.
Gitaa kalipiga mzungu kichaa
na piano kaipiga jamaa mwingine kabisa.
Tena Pfunk alikuta soggy na mzungu kichaa washafanya yao akaiona kali...
When will I see you again? You left with no goodbye, not a single word was said ,
No final kiss to seal any sins,
I had no idea of the state we were in ,
I know I have a fickle heart and...