Unalinganisha mfereji na bahari hhhahahahahahaMpambano uanze na kila baada ya reply kumi tunaweka msimamo....
Huku Mofaya
Huku Pepsi
Anthony Joshua vs matumla acha bangeMpambano uanze na kila baada ya reply kumi tunaweka msimamo....
Huku Mofaya π₯π₯π₯
Huku Pepsi π₯π₯π₯
Mkali wa nini..? au ukali wa ladha ya kinywaji..?Mpambano uanze na kila baada ya reply kumi tunaweka msimamo....
Huku Mofaya π₯π₯π₯
Huku Pepsi π₯π₯π₯
Nani kakuambia kiba ni mmiliki mwenza? Akilinya mazwazwa inajijuaga.... nazimia hapa km alikiba ana umiliki wowote aa MofayaMkali wa nini..? au ukali wa ladha ya kinywaji..?
uzuri wa ladha ya kinywaji unategemeana na mnywaji
Na mjadala wako umebase kwenye brand ya vinywaji na sio umiliki wala ubalozi
Diamond-Ni balozi tu wa muda wa kinywaji
Alikiba-Mmiliki mwenza wa kinywaji
Pepsi-kinywaji kinafahamika dunia nzima, na ni brand kubwa
Mo Faya-Ni brand ambayo ndio imeanza na haijafahamika sana
Sasa wewe unaleta mjadala wakizwazwa
mmiliki mwenza?? Mo faya ipo sehemu nyingi africa na wanatumiwa wasanii wengi kama ilivyo kwa kiba na kiba ni balozi wanaeza mtema wakampa hata mbosso.Mkali wa nini..? au ukali wa ladha ya kinywaji..?
uzuri wa ladha ya kinywaji unategemeana na mnywaji
Na mjadala wako umebase kwenye brand ya vinywaji na sio umiliki wala ubalozi
Diamond-Ni balozi tu wa muda wa kinywaji
Alikiba-Mmiliki mwenza wa kinywaji
Pepsi-kinywaji kinafahamika dunia nzima, na ni brand kubwa
Mo Faya-Ni brand ambayo ndio imeanza na haijafahamika sana
Sasa wewe unaleta mjadala wakizwazwa
Upo sahihimmiliki mwenza?? Mo faya ipo sehemu nyingi africa na wanatumiwa wasanii wengi kama ilivyo kwa kiba na kiba ni balozi wanaeza mtema wakampa hata mbosso.
Sent using Jamii Forums mobile app
sijaelewa umeandika nini aiseeNani kakuambia kiba ni mmiliki mwenza? Akilinya mazwazwa inajijuaga.... nazimia hapa km alikiba ana umiliki wowote aa Mofaya
Njoo Iringa nikupe ubalozi wa ULANZIMi nataka niwe balozi wa togwa.
FactMkali wa nini..? au ukali wa ladha ya kinywaji..?
uzuri wa ladha ya kinywaji unategemeana na mnywaji
Na mjadala wako umebase kwenye brand ya vinywaji na sio umiliki wala ubalozi
Diamond-Ni balozi tu wa muda wa kinywaji
Alikiba-Mmiliki mwenza wa kinywaji
Pepsi-kinywaji kinafahamika dunia nzima, na ni brand kubwa
Mo Faya-Ni brand ambayo ndio imeanza na haijafahamika sana
Sasa wewe unaleta mjadala wakizwazwa
Jina linataja Diamondooo kwa nn tusiamini kwamba yeye ni mmiliki?Upo sahihi
Ni sawa na kusema DIAMOND Karanga ni za Diamond Platnumz
Sent using Jamii Forums mobile app