Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mwenzenu kaingia mazima huyoo Benpol and Anerlisa
7 Reactions
57 Replies
6K Views
Nampa bonge la support Ali kiba kwa kutofanya album review na hao presenters wa clouds fm. Hao jamaa ni mafisadi wakubwa kwenye game la mziki Tanzania na kutopeleka cd yake ni ujasiri...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimesikia kwamba mtangazaji Rehema Mwakangale kafariki dunia hii habari ina ukweli wowote?
0 Reactions
154 Replies
44K Views
Baada ya kuachana na mlimbwende Tunda sasa Mtangazaji Clouds TV, Casto Dickson amejikita kwa mtangazaji wa EATV, Suzie Benard ambaye kwa muda mrefu alikuwa mpweke hali iliyompelekea aanze kuongea...
0 Reactions
39 Replies
8K Views
Kweli pesa ni kila kitu.Hizi ndio pesa na raha yake,sio wale watani zangu wa Nyanda za Juu Kusini,unakuwa na pesa halafu mke unamuweka kama "msukule" anakaa tu dukani siku nzima. Bata mara moja...
57 Reactions
381 Replies
82K Views
Ijumaa hii kutoka rockstar Alikiba aliachia ngoma mpya iitwayo MBIO ikiwa sambamba na video yake... Usafini nako kutoka kwa Lavalava aliachia ngoma ijulikanayo kama HATUACHANI ikiwa ni audio...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Katika Ma comedian ambao wana kipaji cha kutisha, huyu jamaa ni namba moja , especially akiuvaa uhusika wa MAMA IMA, aiseh huwa navunjika mbavu kwa kweli , jamaa sijui anawazaga nini , yani...
7 Reactions
15 Replies
6K Views
Ikiwa ni siku mbili tu toka mwanamuziki Aly kiba atoe ngoma ya Mbio, ngoma hiyo kwa Mara ya kwanza imeshika namba 1 on trending
1 Reactions
37 Replies
5K Views
Kuna baadhi ya wasanii walitamka waziwazi na wengine kwa kificho kwamba aliekuwa mkuu wa vipindi na uzalishaji wa Clouds Media marehemu Ruge Mutahaba alikuwa kikwazo wao kushine na kupiga hatua...
9 Reactions
87 Replies
10K Views
Jamani nikimuangalia Lucy nakumbukaga tu lile balaa lake siku ya harusi na mzungu 🤣🤣🤣🤣. Wenyewe wameenda zao sijui mbudya wenyewe kuturusha roho wanazengo, wakapanda boti, shoga angu akawa busy...
5 Reactions
44 Replies
7K Views
Kumbe Pamoja na Umbufi ambao huyu jamaa alifanya kwenye historia ya Ottoman, kiasi cha juzi kusababisha vilio kwa wapenzi wa Tamthila inayogeza maisha yake ya Sultani inayorushwa AZAM TV, naona...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wiki kadhaa zimepita hamisa alikua na skendo ya kwenda kwa mganga, habari ikiwa ni kumloga mama dangote ili ampende na pia mzazi mwenzie wa pili diamond platinum ili amuoe na ampe nyumba kwani...
9 Reactions
426 Replies
39K Views
To be honest kuna watu mpaka wafe ndo utasikia flani alikuwa anajuwa sana kuimba. Akisha kufa sifa zake ndo zitasambaa mpaka utajiuliza walikuwa wapi kuaappreciate machango wake akiwa bado yupo...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Soulja Boy afungwa jela miezi nane, wezi nao wamtenda Rapa Soulja Boy amehukumiwa kifungo cha miezi nane jela na siku 265 za kufanya kazi za jamii kwa kosa la kuvunja masharti ya kipindi cha...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kumbe Pamoja na Umbufi ambao huyu jamaa alifanya kwenye historia ya Ottoman, kiasi cha juzi kusababisha vilio kwa wapenzi wa Tamthila inayogeza maisha yake ya Sultani inayorushwa AZAM TV, naona...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Ukitazama Muziki wetu unapotupeleka kama jamii kimsingi ni kubaya sana. Wasanii kama ni kutumika na ibilisi kuhalalisha ushoga basi ni kipindi hiki. Tumeelekeza vidole vyetu kwa mashoga...
30 Reactions
95 Replies
11K Views
Hadi sasa bado ni fununu tu,inawezekana ikawa kweli au ikawa kick maana jamaa mwenyewe ashapotea ndiyo njia za kurudi kwenye spotlight hizi halafu ghafla unasikia katoa nyimbo
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Wadau kila nikisikiliza bwana Kitenge a.k.a chumvi akiwa anadadavua magazeti akiwa huko nje ya nchi amabpo mara kwa mara huenda akiwa anapokea link ata aknowledge watangazaji wote kasoro Gerald...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Hivi ikitokea ukaokota begi lenye nguo za Kofi olomide,utazivalia wapi kama siyo kumrudishia tu yeye mwenyewe?
36 Reactions
95 Replies
21K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…