Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wasalaam Majombaa Nimekuwa Nikimsikiliza huyu mchizi anaye Represent Pande za chugastan,Ambaye ni moja ya watangazaji wakali kuwahi kutokea hapa Tz. Huyu jamaa tukiachana na kipaji cha...
3 Reactions
26 Replies
5K Views
mchungaji anaongea hiki na jamaa anaongea kile tofauti kabisa sasa sijui ni ushamba,ujinga au welevu mwingi au kwa makanisa ya wenzetu hiyo ni kawaida tu
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Jaman mji mzito huu, kwa hiyo Majizo anamla Vanessa Mdee? Khaa poleni akina Lulu na Jux , kama vipi na nyie si mlianzishe, maana mnapendezana hatari, khaa yani V Money jamani ptuuu hadi wewe? Looh...
6 Reactions
101 Replies
18K Views
Straight to the point, Vile back in days trap music inaanza kuingia bongo wakaibuka watu kama Cyril kamikaze wakafanya Ngoma. Mara soon akaibuka Gosby naye akafanya yake RAIA tukamu-appreciate...
1 Reactions
30 Replies
6K Views
Nicki Minaj to headline music festival in Saudi Arabia Saudi government accused of hypocrisy for requiring women attending to wear full-length robe Associated Press Published:14:31 Wed 3 July...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Ali Kiba Ali Saleh Gentamilan (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Ali Kiba; pia: King Kiba; alizaliwa 1986) ni mwanamuziki wa Tanzania, mwimbaji na mtunzi wa nyimbo chini ya lebo ya...
5 Reactions
72 Replies
21K Views
Nimeona huyo Dada yuko mbelembele sana,kumbuka Ruge hakukuoa,haujazaa nae.,kwanini unajichoresha. Mwanaume anayejielewa ni ngumu kujiweka coz umejifungamanisha na familia ambayo mwisho wa siku...
10 Reactions
51 Replies
11K Views
Jamaaa anajua , nyimbo zake bado zinaujumbe mzito hadi leo sikushangaa kusikia jamaa kawa mbunge hasa album ya MACHOZI JASHO NA DAMU, NIKUSAIDIEJE? nilipo kuwa natoka naye nyuma anatoka ,usiku...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Leo katika pita pita zangu watoto wakanidai diamond karanga. Kama utani tofauti na nilivyozoea siku za nyuma sijafanikiwa kuona mtu akiuza wala hata dalili.za uwepo wa diamond karanga mjini. What...
2 Reactions
26 Replies
5K Views
Mwanamuziki Khadija Shabani Taya (KEISHA) aingia rasmi kwenye siasa.
3 Reactions
30 Replies
10K Views
Yalimpokuta hamisa kutolewa siri zake na huyo mtu kisha akahamia kwako na kukusifia kila siku ukaonywa ipo siku yako sasa ona leo yaliyotokea hadi umeamua kumblock ngoja tusubiri aanze kumwaga...
0 Reactions
83 Replies
14K Views
Wasalaam wana jf.. Msanii namba moja na tajiri nchini Alikiba ijumaa wiki hii amewashangaza watu na mashabiki wake baada ya kuwapiga marufuku mashabiki wake wanao imba nyimbo zake au nyimbo za...
6 Reactions
43 Replies
7K Views
Huyu kijana mwaka Jana alifanya vizuri na ngoma Kali alizokuwa akitoa mpaka ikafika kushindanishwa na diamond lkn mwaka huu nimesikia ametoa ngoma tatu lkn zote zimefanya vibaya azivumi mtaani...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Naona the way WCB na "mwenyekiti wao" Diamond Plutnumz wanavyopata tabu na huyu mtu na wameona waamue mbinu mpya tu ambayo ni kutoa ngoma zaidi ya 3 wakati Kiba akiwa katoa ngoma hii tafsiri yake...
7 Reactions
111 Replies
9K Views
Wema Mungu amekujalia sura ya kuvutia, wazazi waliokupatia mahitaji yako muhimu mpaka umefika hapo na pia umejaliwa Nyota ya kupendwa. Yachukulie haya kukujenga wewe. Hapa duniani hakuna...
20 Reactions
62 Replies
7K Views
Wasalaam wanaJF, Msanii Diamond ambaye ukweli ulio wazi ni msanii nambari moja hapa Tanzania Msanii Diamond bado anapitia kwenye adhabu isiyo na kikomo ambayo amepewa na wamiliki wa EATV,efm na...
15 Reactions
124 Replies
17K Views
Niko hapa Dar kibiashara tangu Jumamosi (nimekuja kuuza vumbi la Kongo maana nimeona biashara ya majeneza peke yake ntakufa na njaa) Sasa jana nikiwa ndani ya bar moja mitaa ya Makumbusho mida ya...
3 Reactions
109 Replies
15K Views
Habari wadau, mie ni mshabiki muziki wa reggae,huyu mwanamuziki sifahamu taarifa zake mwenye uelewa nazo anijuze tafadhari.
3 Reactions
100 Replies
24K Views
Sosho media ni raha sana , bora ukose pesa ya kula kuliko bundle , bibie kaja na jibu murua, haongei sana , wambea kaz kwetu, limetushuka, mama G kashasema[emoji23][emoji23]
1 Reactions
27 Replies
8K Views
Habari wadau na wapenda buradani. Unaelezea vipi kuhusu hiii chat ya iTunes~kenya kwa wasanii wetu Wawili.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…