Nasikitika Sana kukuona Dada yangu mziki unavyokupoteza mpaka unavaa nguo zisizo na staha.
Mbaya zaidi wewe ni muislamu na waislamu wenzako wanavaa Kwa staha. Am so Disappointed .
Why why why...
Zuchu ndiye mwanamuziki wa kwanza wa kike Mashariki kupata watazamaji milioni 100 katika Youtube
Mwanamuziki wa Tanzania Zuhura Othman , al maarufu Zuchu amekua mwanamuziki wa kwanza wa kike...
Kwa mujibu wa YouTube ambayo ndio platform fair kwa sasa Tanzania kupima nguvu ya msanii.
Zuchu ndio msanii namba moja kwa sasa.
Amefanikiwa kukamata chati za Youtube kwa akaunti yake mwenyewe...
Wakuu nipo Mombasa kikazi Sasa nyumba ya mwenyeji wangu niliyefikia n MZANZIBAR kwakuzaliwa ila n raia wa Kenya
Sikujua Kama mwenyeji wangu anaundugu wa karibu na bi Khadija kopa narud kwa...
Hatimaye zamu ya Zuchu imewadia.
Mtoto wa Khadija Kopa rasmi sasa kutambulishwa Wasafi.
Amekaa benchi kwa miaka karibu mitano.
Ukubwa wa kipaji chake ni Jide+Nandy+Vanessa Mdee.
Tanzania...
Zuchu nilikuwa nakaonaga katoto ka 2000 tu kumbe ajuza wa kwenda, sasa hapa mbona kama team ya WCB imefeli pakubwa maana kwa umri wa Zuchu hata akichuana na Tyla hatoboi hata kidogo, age imeenda...
Salaam! Msanii pekee wa kike kutoka wcb amekuwa akitoa mfululizo wa nyimbo ambazo kiutamaduni zinaathiri kizazi chetu cha baadae "honey wangu akinuna namkatia mabuno" imagine watoto wangapi...
I'm highly disappointed in her. She is too young to be this stupid.. It is too early..
Wakati mwingine najiuliza WCB wana mikataba na nguvu gani... Wanaimba matusi lakini bado wanasurvive.
Hovyo...
Kwa msanii mkongwe kama Ali Kiba kushindwa kumpiku Zuchu ni aibu kubwa sana.
Inamaana Zuchu amekuwa mkubwa kuliko Ali Kiba?
Ni maswali tu wanayojiuliza wataalam wa mambo ya muziki.
Habarini wana jamvi? Natumai mu wazima wa afya.
Hii imetokea Leo Zanzibar ambapo Zuchu bin kopa Kama The Best female east Africa musician alipotoa performance Kali sana pale viwanja vya mnazi...
Huyu Zuchu anaenda kuwa kioo cha Utunzi wa Nyimbo za kuchochea maendeleo maana ana Melody Kali sana pamoja na Utunzi wa Hali ya juu, najua NANDY ataiga tu na yeye kutoa maana anatembeleaga upepo...
Hivi majuzi nilisikiliza interview ya Sallam SK kupitia kipindi cha The Switch cha Wasafi FM nikajifunza jambo -- kuwa kumbe si kila msanii yupo tayari kunyakua kila dili linalowekwa mezani, no...
Mchana wa leo msanii wa kike kutoka lebo ya wasafi amesaini mkataba wa kuwa balozi mpya wa mtandao wa zantel ambao sasahiv wanakampeni Yao ya internet yenye kasi ya 4G
Malkia wa bongofleva Zuchu ameweka rekodi ya kukaa namba moja trend kwa wiki zaidi ya mbili.
Na masaa matano baada ya kutoa wimbo mpya umeenda moja kwa moja kushika namba mbili kwenye trend.
Kwa...
Leo record mpya imeandikwa na Zuchu katika bara la Africa.
Amekuwa msanii wa kwanza wa kike kufikisha views million 1 kwenye YouTube ndani ya masaa 22.
Hongera queen wa bongofleva.
Muimba taarabu anayezid kujiwekea rekodi mbalimbali
Juzi amefikisha subscribers laki 5.
Amefikisha watazamaji MILLION 55 YouTube.
Amekuwa ontrending said ya mwezi sasa.
EP yake inaongoza kwa...
Last born kutokea WCB anaendelea kutikisa nyavu za Bongo Fleva baada ya kutengeneza rekodi mpya huko Boomplay.
Ile EP yake ya I AM ZUCHU imeshafikisha streams Milioni 10 Kwenye App Ya Boomplay...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.