Katika hatua ya kushangaza, upande wa utetezi katika kesi ya sex trafficking inayomkabili msanii maarufu Sean “Diddy” Combs umemaliza kutoa hoja zake bila kumuita shahidi yeyote mahakamani. Hii...
Get rich or die trying
Baada Yakuonyeshwa Stoo Ya Magari Juzi Na Bilionea Lugumi nae kijana mdogo anaekuja kwa kasi ya kutisha kwenye utajiri Chief Godlove Kapata Hasira na kuamua kuvuta gari...
Leo tuwataje watu maarufu hapa bongo ambao ni kama wamegoma kuzeeka. Yaani wapo vilevile miaka nenda miaka rudi.
Naanza na Blandina Chagula maarufu kama Johari.
Huyu tangu tukiwa wadogo yupo...
Kanye West, msanii maarufu na mbunifu wa mitindo kutoka Marekani, amedai kuwa viatu vyake vya slippers vimeuza zaidi ya dola milioni 2 (takriban shilingi bilioni 5 za Kitanzania) kwa muda wa chini...
Hakika album yako imesheheni sana madini ambayo kwa kipindi hiki ni ngumu kuyapata kwa wanamuziki wengne
Nmpenda pia ubunifu wako wa njia ya usambazaji wa watu kulipia kwanza mwezi mmoja kabla...
Young Lunya alikuwa kwenye nafasi nzuri kwenye game kwa kutoa kazi mara kwa mara zilizo hit na kumpa umaarufu.
lakini tangu asaini na label ya Sony Africa ni kama kajizika,
Sony wamembana sana...
Msanii wa filamu nchi ameonyesha hisia zake baada ya kufika katika uzinduzi wa daraja la Magufuli liliozinduliwa leo na Rais Samia, na haya ndiyo aliyoandika katika ukurasa wake wa Instagram...
Nyota ya msanii wa kimataifa kutoka ktk ardhi ya Tanzania Diamond Platnumz, aka Chibu, aka Simba Yazidi kung'ara mwaka huu 2020.
Baada ya taasisi mbili kubwa za kijamii kumwandalia tuzo ya (TUZO...
Habari ndio imeandikwa hivyo na baadhi ya picha.....
=====================
=====================
Did Y'all Know That There Were INSTAGRAM BOOTY MODELS . . . In AFRICA . . . And This THICK Chick...
Mwigizaji wa Marekani, Tyler Perry ameshitakiwa na mwigizaji Derek Dixon kwa madai ya unyanyasaji wa kijinsia kazini, ambapo amedai fidia ya Dola milioni 260 [TZS bilioni 674.25].
Dixon anadai...
Pavel Durov, Muamzilishi wa program ya Telegram, ameeleza kuwa atawawachia watoto zaidi ya 100 mali zake zenye thamani ya takriban shilingi trilioni 45. Alisema hayo katika mahojiano na gazeti la...
Japo mpaka sasa jamaa bado yumo ndani ya futi 6, ila si mbaya kama tutajikumbushia baadhi ya Diss line zake kwa wasamalia wema/yani watu wasiohusika na Muziki.
Kwenye 'Over n Over' Jamaa alinena...
Msanii wa filamu na Mwenyekiti wa Mama Ongea na Mwanao alikuwa na haya baada ya Mpina kutoendekeza Uchawa kwa Rais
"Mh Rais Samia Suluhu Hassan hongera sana kwa Ziara Meatu, Haiwezekani kila mtu...
Wanazengo ngoja na Mimi Leo ni jaribu kuwapa umbea wa code sijui ntaweza mbea Mimi🤣🤣 , haya twende Sasa
Yule boss mfupi mwenye kumiliki redio flani hivi inayokuja kwa kasi, inasemekana yupo...
Staa wa Bongo Fleva, Ben Pol, amefurahia baraka mpya maishani mwake baada ya kubarikiwa mtoto. Msanii huyo ame-share furaha yake na mashabiki kwa ku-post picha mtandaoni, akionyesha upendo wake...
Akihojiwa na MaxMedia aliyekuwa msanii maarufu wa bongo flavour Dudu Baya anajutia kuzaliwa mtu mweusi. Kauli Yake.
I hate blacks. Mimi najuta kuzaliwa jitu jeusi. Nachukia sana majitu meusi...
Muigizaji wa Filamu Nchini Tanzania Hawa almaarufu Carina amefariki Dunia akiwa Nchini India ambako alikuwa anapatiwa matibabu
Hawa alitarajiwa kurejea Leo Nchini Tanzania baada ya kufanyiwa...