1. Mheshimiwa Haji Manara amepata shavu la usemaji wa klabu ya PSV Eindhoven.
2. Mipango ya vibali vya kazi na viza vikikamilika yeye pamoja na familia watatimkia huko ng'ambo tayari kwa kazi. ya...
Ile kuwapiga wasanii na kuwafanya kuchanganikiwa na mwisho kuishia katika Madawa Leo mtazame mtoto wake
Miaka 34 Ila hana Ramani ameishia kupiga nyimbo Bar Kama DJ...
Daah! Miaka ya elfu mbili muziki ulitendewa haki kweli jamani. Cheki list ya vipaji hivyo – yaani mtaani kulikuwa hakupoi:
Juma Nature
Q Chillah
Ferouz
Lady Jay Dee
Professor Jay
Ngwear
Jay Moe...
Zipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa.
Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu...
Aliyekuwa muigizaji wa Tamthilia ya JUAKALI maarufu kama Kitundu amefariki dunia jioni ya Leo, Juni 24. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na @lamataleah ambaye ni muongozaji wa Tamthilia hiyo...
Mwimbaji Staa wa Bongo Fleva Rajabu Adbul Kahali maarufu Harmonize ametangaza rasmi dhamira yake ya kwenda kugombea Ubunge wa Jimbo la Tandahimba Mkoani Mtwara ambako ndio alikozaliwa...
Inamaanisha kuwa chawa wa CCM ndio kunampa ruhusa ya kudhalilisha watu atakavyo.
Japo kwa Tanzania kila kitu kinachukuliwa poa, ila kuwepo na ukomo wa udhalilishaji. Mwijaku amevuka mipaka ya...
Wakuu,
Hivi Tayla ana bahati au kismati cha aina gani?
Siku ya jana msanii kutoka Afrika Kusini Tyla aliweka historia ya kuwa mwafirika wa kwanza kushinda kipnegele cha “Favorite Global Music...
Gauo - Magic System: The Best Break-Up Song Unayoweza Kucheza Club 🎶💔
Kwa kawaida, nyimbo za break-up huwa za huzuni, zenye tempo ya chini, na zinakufanya utafakari zaidi maumivu ya mapenzi...
Mboso Khan mshedede
Chino
Mario
King Kiba
Jay Melody
Recently kwa mtizamo wangu Kazi zinawabeba....Hongera kwa simba ila nguvu anayotumia ni kubwa mno sii kitu kibaya as zinampush...
Super Mega Star, Diamond Platnumz, akiwa kwenye mahojiano huko Ughaibuni (Uingereza) amesema kuwa yeye ndiye msanii pekee barani Afrika anayeweza kufanya aina zote za muziki kutoka katika kila...
Kwa taarifa zilizorushwa na kituo cha redio Clouds FM ni kwamba mwanamuziki Albert Mangwea amefariki dunia akiwa south Africa.
Taarifa zaidi zitafuatia.
------
Albert Mangwea maarufu kama...
Watanzania wafarijika baada ya kuona muonekano mpya wa chid benzi, you know what? GOD DID.
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Chid Benz, aliyewahi kuwa mraibu wa dawa za kulevya...
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Gigy Money, uongozi wa msanii Gigy Money umeeleza kuwa msanii huyo anaumwa na anahitaji maombi kutoka kwa mashabiki wake. Taarifa hiyo imekanusha uvumi kuwa...
KFC ni kifupi cha Kentucky Fried Chicken, mgahawa maarufu duniani kwa kuuza kuku wa kukaanga. Historia yake inaanzia kwa mtu mmoja aitwaye Harland Sanders, ambaye alizaliwa mwaka 1890 huko...
Upande wa Mashtaka Wamaliza Kuwasilisha Ushahidi
Baada ya wiki sita za usikilizwaji na mashahidi 34 wakitoa ushahidi (akiwemo Cassie Ventura), upande wa mashtaka umemaliza kutoa ushahidi wake...
Kufikia 24 Juni 2025, baada ya kusikiliza ushahidi kwa zaidi ya wiki saba na mashahidi 34, upande wa mashtaka na ule wa utetezi wamefunga kesi zao rasmi.
Kilichowashangaza wengi ni kwamba upande...