Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

MUUNGANO WA WATANZANIA " JUMA NATURE & PROFESSOR JAY " Umoja wa Tanzania" ni wimbo maarufu wa Bongo Fleva uliotolewa mwaka 2003 na mkongwe Juma Nature akishirikiana na Professor Jay, ukiwa kwenye...
1 Reactions
1 Replies
135 Views
Nimeshangaa msiba kuwekwa kwa wakili msomi mwingine badala ya Nyumbani kwake. Hii imekaaje Wadau? Au mambo ya apartment kama Le Mutuz?
10 Reactions
57 Replies
2K Views
  • Redirect
Mwigizaji na msanii wa mapigano ya kijeshi na judo, Chuck Norris alifariki dunia jana asubuhi akiwa na umri wa miaka 86, familia yake imetangaza kupitia mtandao wa Instagram. Norris alilazwa...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mwendo umeumaliza Nakumbuka Ile DELTA FORCE Upumzike kwa amani
2 Reactions
Replies
Views
Hapa Tanzania itatuchukua miaka mingi kupata vipaji kama Saida Karoli na Rose Muhando. Hawa ndo wasanii bora wa muda wote hapa Tanzania.
3 Reactions
6 Replies
426 Views
Ishowspeed kabla ya kutembelea Afrika keshakuwa na shobo na WWE SuperStars, mwanakulitafuta siku moja kapeleka kwato kwa mhuni Randy, baada ya mapokezi hakuwahi tena kujihusisha na WWE
4 Reactions
7 Replies
322 Views
Mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama Kanumba Kimara, Dar es Salaam alipokuwa akiuguzwa kwa muda sasa baada ya...
9 Reactions
188 Replies
33K Views
Kuna video imeniumiza na kunisikitisha kupitia Grobal TV Online ambapo mama Kanumba anaeleza kwa uchungu sana jinsi mdogo wake Kanumba Seth alivyopata ugonjwa wa ajabu uliopelekea kupalalaizi...
12 Reactions
106 Replies
18K Views
Muigizaji wa Comedy mwingine William Mockray anaekwenda kwa jina la stejini Mtumishi Obama, nae amejionesha leo akijipa zawadi ya gari aina ya BMW 320i ya mwaka 2006 hadi 2008. Ni hatua nyingine...
7 Reactions
59 Replies
3K Views
Mtangazaji maarufu nchini wa vipindi vya Radio na Television Dennis Busulwa a.k.a Ssebo amejiunga na Radio ya E FM ambayo imekwishajizolea umaarufu mkubwa jijini Dsm kwa kipindi kifupi tu kutokana...
3 Reactions
18 Replies
4K Views
--------------------------------------------- For days now, social media users have been wondering who is dating Miss Mutesi Jolly, since she is one of those famous girls whose personal life is...
14 Reactions
272 Replies
21K Views
Hizi tuzo za wachekeshaji mwaka jana zilifanyika Februari 14 siku ya Valentine wakamualika hadi Rais kama mgeni rasmi Mwaka huu nimepita kwenye instagram yao sijaona update yoyote.Tukiwaambia...
3 Reactions
5 Replies
405 Views
Kwanini nimesema una uwalikini mkubwa? Vile tunashuhudia humu jukwaani hata huko uraiani mambo ni yaleyale. Kuna jamaa walikuwa wanatambiana kuwa ana nguo za kulalia nyingi kiasi kwamba mademu...
15 Reactions
52 Replies
1K Views
MKOLONI FT JITA MAN - BEI JUU. Mkoloni amewataka wasanii kuimba nyimbo za kuelimisha kama walivyokuwa wanaimba zamani ili kuweza kuiweka jamii sawa na siyo kuimba mambo ambayo ukiyasikia mpaka...
2 Reactions
1 Replies
399 Views
Dudu Baya amemwaga sewage katika mtandao wa YouTube akimlaami mwanaye Wile kwa maneno makali jambo ambalo limekera baadhi ya Watanzania hasa alipotamka kauli chafu kuwa alimpiga trees mama wa...
5 Reactions
175 Replies
3K Views
Master J ndio Godfather wa hili game japo yeye hapendagi kabisa hizi debates, anaona zinampotezea muda tu haoni umuhimu wa kuitwa legend wala mambo ya kupewa heshima. inshort hapewi kabisa heshima...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
WATU PORI - USINICHUKIE Afande sele.( Verse).. "inshallah kama umenisamehe Kama bado basi Ewallah Yote namuachia Allah Kwani tulipo , Tupo kwa vile ametaka Tuwepo/ Anatupenda Sawa sawa...
1 Reactions
1 Replies
228 Views
MATUMAINI: katika mambo yanayokwamisha mtu kuweza kuendelea ni pale anapokutana na changamoto mbalimbali za maisha hasa pale unapokuta unashindwa kufikia malengo uliyoweka kwa wakati,hali hii...
2 Reactions
6 Replies
248 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…