Kwa uku kwetu bongo ukimuuliza mr blue msanii anayemkubali pande za obama atakwambia ni JAYZEE,na angetamani siku moja awe kama yeye au hata kuimba nae tu(japokuwa ni ndoto),wema sepetu atakwambia...
habari wana jf,
Jijini Dsm kuna mengi ndugu zangu, mi nimejitokea zangu mwanza, najisemesha nina kipaji kwenye sanaa ya uigizaji!
Nimeishia kuingizwa mjini na huyu mama wa buguruni (ana kundi...
Mara nyingi huwa najiuliza sababu ya wasanii wa kike kushindwa kufanya vizuri katika muziki wa hapa nyumbani almaarufu kama Bongo Flava. Wasanii wengi wa kike wamekuwa wakiibuka na kupotea, ni...
Kwa wapenzi nn mashabik wa music wa Tanzania mjini Guangzhou China....for the first time.
WCB president,Diamond weekend ijayo atakuwa na maonyesho ya music mjini humo.
Tarehe na detail zingne...
Sijui ni kwangu tu,naona kama wananiboa,mfano kuna movies za mzee majuto kuna jamaa anajiita zumbekuku,kuna movie nyingine ya "garage" anajiita chilisosi.
Wapo wengi sijui ndo sauti zao halisi au...
Diamond akiwa na Wema na binamu yake aitwae Romeo
Kuna sababu zaidi ya 100 kuwa ile inayoitwa movie ya Diamond na Wema Sepetu iliyopewa jina na Diamond, Temptations haipo na kama...
Nawazungumzia Judith Wambura Mbibo au Lady Jaydee (ANACONDA) na Naseeb Abdul au Diamond (MNYAMA),kwa sasa ukitaka kutaja jina la mwanamuziki bora wa kiume basi listi itaongozwa na bwana mdogo...
Yaani kuna nyimbo moja ambayo Jidee anaimba," yote mliosema" kuna melodi ambazo Diamond kaiga zote,kaweka kwenye wimbo wake wa my no one! Ha kumbe ukubwa dawa!
Jumamosi tarehe 26/01/2013 nikiwa ofisini mida ya saa mbili usiku mie na jamaa zangu tukisubiri kusikiliza taarifa ya habari (StarTv) jamaa yetu mmoja akingia na watu watatu (mwanamke mmoja)...
Anaitwa Asha Jumbe,ila jina la movie aliyowahi kucheza na marehemu kanumba inayojulikana kama WHITE MARIA,ilimpaisha zaidi huyo bidada kwani alicheza kwa kiwango cha hali ya juu sana,ni kabinti...
habari zenu wanajamvi,naomba kuuliza kuhusu huyu mtu anayejulikana kwa jina hilo tajwa,ni nani hapa mjini?ni celebrite? mwenye cv yake anisaidie, pia mwenye picha yake anisaidie niweze...
kama tunavyojua juzi 2 hapa ilikua ni birthday ya wema ambapo alikua hong kong but badae bwana mdogo da president himself diamond platnumz akamjoin kutokea malaysia adi hong kong kama birthday...
MSANII WA BONGO MOVIE AVULIWA ZOTE NCHINI CHINA NA KUFANYIWA UPEKUZI;ALALAMIKA KUTOMASWA KIMAHABA WAKATI WA KUMKAGUA
MSANII wa Bongo Movie, Devota Mbaga hivi karibuni alipatwa na kisanga cha...
hehehehe sijawahi kuona msanii kaanguka U.S.A kama show za B.E.T
au sijui majukwaa yao yapoje.
sijui snura alilewa kiasi kwamba akashindwa kujicontrol lol!
Staminah ft Rich Mavoko - Kabwela
nimepigwa msumari wa kichwa mwili unangoja
kaburi
maisha yamenipiga picha nega zimetoka vivuli
dunia tambala bovu nalidekia kwa shida
jitahidi kui'solve bila...