Kada wa CCM Arusha Ashikwa Kwa Utapeli

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
IMG-20160428-WA0003.jpg

IMG-20160428-WA0004.jpg

IMG-20160428-WA0007.jpg


Habari zilizonifikia hivi punde kutoka Jijini Arusha zinahabarisha Kada Maarufu wa CCM jijini humo ndugu Ibrahimu Kafimbi amekamatwa akitapeli wafanyabiashara wa Arusha kwa kujifanya yeye ni afisa biashara na yeye ndio anakusaya hela za mabango ameshikwa na Mihuri na risiti feki za jiji la Arusha.

Huu ni mwendelezo wa Vijana wengi wa CCM wanaotapeli watu Arusha kwa kigezo wao ni maofisa wa halmashauri mtoa taarifa amehabarisha.
 
Amepigwa pingu mkononi, ni ishara kuwa waliomkamata ni polisi. Lakini, naona kama amevuja damu nani kampiga? Ni wananchi walimpa kipigo ndo polisi wakaingilia au ni polisi wenyewe?
 
Huyu jamaa...ndiye mkufunzi wa Green Guard....ndo pia alimfundisha Jummane Mjusi ,jins ya kuiba na kupiga watu.....namshukuru Sana Mungu, huyu jamaa alikuwa hakamatiki anaiba hata mchna kweupe ......
 
Sura
View attachment 342924
View attachment 342925
View attachment 342926

Habari zilizonifikia hivi punde kutoka Jijini Arusha zinahabarisha Kada Maarufu wa CCM jijini humo ndugu Ibrahimu Kafimbi amekamatwa akitapeli wafanyabiashara wa Arusha kwa kujifanya yeye ni afisa biashara na yeye ndio anakusaya hela za mabango ameshikwa na Mihuri na risiti feki za jiji la Arusha.

Huu ni mwendelezo wa Vijana wengi wa CCM wanaotapeli watu Arusha kwa kigezo wao ni maofisa wa halmashauri mtoa taarifa amehabarisha.

Watu sampuli hii wapo wengi sana huko CCM.
 
Aiseee hivi Hiki chama cha ccm nani alikipa hilo jina mbona wanaccm wanaiba sana hawana Hata huruma . Afungwe kabisa
 
Kuna fununu ambazo zilikua zikisambaa humu kua ndugu wa karibu wa mbunge wa arusha mjini wametapeli kampuni ya mtu, hivi walishairudisha?

Anzisha uzi wako wa hizo fununu hapa tunajadili Hili jangili la ccm lililokamatwa live hatujadili fununu wala maigizo . Acha ngonjera mkuuu
 
Kwa kasi ya Magufuli wale waliokuwa wanaimba kuisoma namba watasoma sana. .....

Mtu anashindwa kufanya kazi anawaza kutapeli tu ... tumechoka na watu wenye tabia za ajabuajabu.... hasa makada wa vyama vya siasa
 
Duh huyu jamaa namfahamu sana mara ajiingize kwenye parking wakamstukia leo kakamatwa lazima wakuu wa CCM wapo polisi muda huu kumwokoa kijana wao mratibu wa wizi wa kura.
 
View attachment 342924
View attachment 342925
View attachment 342926

Habari zilizonifikia hivi punde kutoka Jijini Arusha zinahabarisha Kada Maarufu wa CCM jijini humo ndugu Ibrahimu Kafimbi amekamatwa akitapeli wafanyabiashara wa Arusha kwa kujifanya yeye ni afisa biashara na yeye ndio anakusaya hela za mabango ameshikwa na Mihuri na risiti feki za jiji la Arusha.

Huu ni mwendelezo wa Vijana wengi wa CCM wanaotapeli watu Arusha kwa kigezo wao ni maofisa wa halmashauri mtoa taarifa amehabarisha.
watu wa Arusha ndio zao hakuna CCM wala CHADEMA ni zao watu wa kskz
 
View attachment 342924
View attachment 342925
View attachment 342926

Habari zilizonifikia hivi punde kutoka Jijini Arusha zinahabarisha Kada Maarufu wa CCM jijini humo ndugu Ibrahimu Kafimbi amekamatwa akitapeli wafanyabiashara wa Arusha kwa kujifanya yeye ni afisa biashara na yeye ndio anakusaya hela za mabango ameshikwa na Mihuri na risiti feki za jiji la Arusha.

Kwa uandishi wa aina hii itafika wakati tukaanza kusoma: 'Mwanachama maarufu wa CHADEMA ashikwa kwa ujambazi'; 'Majambazi matano ambayo ni CHADEMA yavamia benki na kupora mamilioni ya fedha'; 'MwanaCCM akamatwa kwa kubaka binti yake wa miaka miwili'; 'MwanaCUF acharaza mwenzie mapanga: kisa ugomvi wa eneo la biashara'...Mungu atuepushe na uandishi wa aina hii ndani ya JF.
Huu ni mwendelezo wa Vijana wengi wa CCM wanaotapeli watu Arusha kwa kigezo wao ni maofisa wa halmashauri mtoa taarifa amehabarisha.
 
Back
Top Bottom