Wakuu,
Hii video inaonyesha namna vijana hawa ni majasiri, waligomea gari la Serikaei lisibebe mwili wa mwenzao kwani kifo chake kimesababishwa na watumishi wa Serikali
Hawa Wanafunzi mwenzao...
Wadau wa JamiiForums,
Style sio kelele. Style ni utulivu wenye nguvu.
Ni ile presence mtu anaingia nayo kwenye room, bila kusema kitu — lakini kila mtu ana-notice.
Hapa ndio luxury streetwear...
Yaani unakuta mtu anamiaka 42 alafu anamahusiano na mwanamke ana miaka 48 alafu anasema anamiliki mshangazi ....!!!!! Huyo si mzee mwenzie tu...
Mshangazi aitwe na vijana wa miaka 18 mpaka 35...
Kuonekana kwa Freeman Mbowe hadharani leo katika uzinduzi wa Serikali wa Mradi wa Kufua Umeme wa Maji wa Julius Nyerere (JNHPP) kumezua ukosoaji mkubwa kutoka kwa wanachama na wapenzi wa CHADEMA...
Ni hakika wote tunajua kuhusu utatu mtakatifu...
Yaani the father, son and the holy spirit.
Also hii ina direct coleration na Body, mind and soul..
Hizi ni dhana tu za kujaribu kuelezea kitu...
Habari za muda huu wakuu,
Naomba kuwasilisha mada hii kwenu ili kupata uzoefu au taarifa za kina kama kuna mtu yeyote humu ndani alishawahi kufanya kazi na kampuni inayoitwa Fine Modern Homes...
Full name: Manchester United Football Club
Nickname(s): The Red Devils
Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.
League: Premier League
Website: ManUtd.com...
Sakata linalomhusu Mariam Kijumbe limeendelea kuteka mjadala mkubwa mitandaoni, hasa baada ya watu mbalimbali kujitokeza kudai fedha zao walizoweka kwenye kile kinachoelezwa kuwa ni mchezo wa...
Asilimia kubwa ya sisi wazazi tunaojitambua haturuhusu watoto waangalie au wasikilize nyimbo za bongo fleva sababu nyingi hazina maadili.
Ila cha kushangaza unaenda kwenye mahafali unakuta mtoto...
Baadhi ya watu wa chama cha kijani wanatumia nguvu kubwa na muda wao mwingi kufanya kila waliwezalo kuhakikisha Mbowe harudi madarakani iwapo ataamua kugombea tena uenyekiti wa CHADEMA Taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.