Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hii nchi sijui kama itapoa. Kufatia serikali katili ya CCM kuua watanganyika zaidi ya 3000 na kuwazika kwenye kaburi la halaiki, na kuacha mamia ya vijana wakiwa na ulemavu wa kudumu. Mambo...
2 Reactions
44 Replies
268 Views
Wakuu, hawa watoto wetu sometimes wanajua sana kutuaibisha/ kutuangusha. Jumatatu iliyopita nilishiriki mahafali ya darasa la Saba ya binti yangu. Mambo yalikwenda tu vizuri mwanzoni, lakini...
14 Reactions
32 Replies
333 Views
Kuna msemo mmoja unaenda hivi "when a guy has a crush on a girl every one knows knows but the crush, but when a girl has a crush on a guy no one knows but the crush" Hivyo ndugu zangu ni kheri...
17 Reactions
346 Replies
3K Views
Sakata linalomhusu Mariam Kijumbe limeendelea kuteka mjadala mkubwa mitandaoni, hasa baada ya watu mbalimbali kujitokeza kudai fedha zao walizoweka kwenye kile kinachoelezwa kuwa ni mchezo wa...
2 Reactions
36 Replies
350 Views
Leo, 22 Agosti 2026, Rais Samia anatarajiwa kuzindua rasmi mradi huu wenye uwezo wa kuzalisha MW 2,115. Mitambo yote tisa, kila mmoja ukiwa na uwezo wa MW 235, ilikuwa tayari imekamilishwa na...
2 Reactions
64 Replies
462 Views
Hellow wana Jf. Saizi ukiwa road zikipita gari 15 basi ujue gari 10 mpaka 12 zinaendeshwa na wanawake. Wanaume vipi wazee au tunafanya mazoezi ya kutembea na kuendesha bodaboda, bajaji/daladala...
15 Reactions
132 Replies
900 Views
== Mkurugenzi David Kafulila ameendelea kusimama kama sauti ya kizazi kipya cha viongozi wanaoelekeza Watanzania kwenye mustakabali wa taifa lenye uchumi ulio mkubwa ambao ni shindani na...
1 Reactions
21 Replies
136 Views
Ni hakika wote tunajua kuhusu utatu mtakatifu... Yaani the father, son and the holy spirit. Also hii ina direct coleration na Body, mind and soul.. Hizi ni dhana tu za kujaribu kuelezea kitu...
5 Reactions
21 Replies
82 Views
Ndugu zanguni mnaosema kataa ndoa kama naanza kuwaelewa , nina mwanamke ambae anashida akiwa na hasira ana mdomo mchafu sana ni mwnamke nnaemtunza kumlea na nilimvunja bikra mwenyewe ila hana...
17 Reactions
80 Replies
1K Views
Pa kukosoa kusoa sana na kupongeza pongeza sana maana nchi yetu ni hiihii wote. Umeme haubagui uwake nyumba gani wala nyumba ya nani. https://youtu.be/3iuacrmxUAs?si=x4MeKWCexU8UFxfF
0 Reactions
34 Replies
229 Views

FORUM STATS

Threads
2,083,680
Posts
56,005,482
Back
Top Bottom