Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ukizungumzia wasanii ambao hawajawahi kupewa heshima inayolingana na mchango wao kwenye muziki wa Tanzania, kwangu jina la kwanza ni Rashidi Ziada (KR). KR alianza muziki tangu miaka ya 90...
12 Reactions
54 Replies
782 Views
Maendeleo ni matokeo ya kazi, bidii, maarifa na juhudi. Falsafa ya mwenge wa uhuru ni mazingaombwe na miujiza, eti mwenge unaleta amani. Mbaya zaidi miaka michache mbeleni ikaibuka vita vya...
14 Reactions
46 Replies
327 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Kilwa, Abdshakuru Abubakari Mohammed amesema kwa sasa CHADEMA inatumia mabavu na haifuati katiba ya chama. "Leo...
2 Reactions
4 Replies
54 Views
Kwa utulivu wake wa namna ya kuyaunganisha makundi mbalimbali ndiye Rais wa Tanzania 2030-2040
1 Reactions
11 Replies
87 Views
Ndugu wadau habari zenu, Na jaribu kutafari kwa jinsi siasa zimeanza kuonesha mwelekeo usiofaa ambapo baadhi ya viongozi wetu wa kisiasa wanatumia dini au viongozi wa dini kupenyeza ajenda zao...
0 Reactions
1 Replies
4 Views
Serikali ya Marekani hivi karibuni imetangaza mpango mpya wa ushuru dhidi ya bidhaa zinazoagizwa kutoka nchi za nje. Kulingana na mpango huo, viwango vya ushuru vinaanzia asilimia 10 hadi 12.5, na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Akizungumza Julai 28, 2026 kwenye kipindi cha One on One cha Wasafi Media, Dkt. Ayub Rioba Chacha, amesema mashambulizi ya maneno na shutuma zinazotolewa kutoka pande zote mbili serikalini na...
2 Reactions
33 Replies
505 Views
Najua kwamba kuna uwezekano mkubwa pesa zinazotumika kununua viwanja na kujenga maghorofa Kariakoo ni pesa za upigaji (pesa zenye kona kona) , lakini nimetafakari na kuona kwamba ni bora anaeiba...
0 Reactions
3 Replies
59 Views
Sina ya kuongea mengi ila maandalizi yameanza na mtaambiwa kuwa znz ndio walikuwa wanampigania samia kipindi cha uganda kipindi cha mwalimu vita ya kagera. Watawekwa wanawake wengi wengi kwenye...
1 Reactions
1 Replies
18 Views
Baba yangu namchukia sana maana alitutelekeza na akamuacha mama na akakimbizana na michepuko. ila najivunia ma singo mother maana nimelelewa...
6 Reactions
72 Replies
461 Views

FORUM STATS

Threads
2,076,421
Posts
55,844,391
Back
Top Bottom