Chei chei
Viongozi hawana ushirikiano na wana vita wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama, hakuna masikilizano kila mtu yeye yupo mbele tu hakuna anayetaka kukaa nyuma ya mwenzake
Acha tu CCM...
Chadema mlitaka nchi isitawalike leo hii mnaomba maridhiano!? Mmekuwa Malaika au Shetani yule yule kabadili staili!?,miaka minne mmetumia nguvu zenu zote kupinga maendeleo ya Tanzania,leo mnaomba...
Kama taifa lazima tuzikemee hizi tabia zinazochipukia Kwa Hawa vijana wa hovyo kufurahia matokeo mabaya ya mpira .....kama mdau wa soka nakemea jambo hili
Lazima tuwe wazalendo Kwa kuwa serikali...
Waswahili wanasema sio kila king’aacho dhahabu, ubaguzi unaoshuhudiwa ndani ya CHADEMA sio wa kawaida licha ya maneno ya kujisifu ya baadhi ya viongozi wetu katika mitandao ya kijamii. Kwa...
Kwa namna My Mbunge huyu wa Visiwani alivyoongea ni dhahiri hakuna maelewano kati ya Rais na Makamu Wake na kati ya Viongozi wa Zanzibar na Makamu wa Rais. Maneno ni makali hata wabunge wameogopa...
Tumeshindwa kabisa kukaa vikao vya kichama na kuyamaliza?, tuliolelewa ndani ya chama tunarekodi nzuri juu chama chetu na mifano lukuki juu ya ccm yetu,ambayo inapotokea misuguano basi sisi wana...
Habari.
Kuna mtu anauliza taratibu za kuanzisha app kwa hapa tanzania hadi iweze kua downloaded playstore/App store.
Je, ni taratibu zipi anahitaji kufuata?
Je itahitaji kwenda Tra,Tcra,Brela nk...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Wasalaam
Hii ni story ya kweli ambayo imetokea kwenye maisha yangu napenda nishare nanyi kisa hiki kifupi ili tujifunze na tuburudike.
Mnamo mwaka 2019 nilimaliza elimu ya digrii katika chuo...
1. Baada ya mbunge mteule wa Rais kutoka Zanzibar, kumshambulia VP Mtanganyika Kwa kumuita Yuda, wabunge wa Tanganyika hawakupiga makofi
Hii ni hisia kuwa Watanganyika wamestuka na kuanzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.