Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ili akachochee upya ghasia uharibifu na maafa tena? Mi nadhani anawajibika kwa 100% katika kupanga, kuratibu na kuchochea ghasia, uharibifu na maafa ya 2025, ambapo sote ni mashahidi na waathirika...
1 Reactions
27 Replies
66 Views
Wajomba, Hivi baada ya ku submit transfer vacancy request katika mfumo wa ess utumishi kinachofuata fuata nini, je wanakujibu kama nafasi IPO au?
2 Reactions
109 Replies
9K Views
Baba! Baba! Baba! Nimekuita mara tatu,hakuna mtu kajijengea jina zuri kwa marais ukiondoa Muasisi wetu karume kama wewe ,yaani Mheshimiwa umempiku mpaka Mzazi wako .Nia yako imethibitishwa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Jiji la Dar es Salaam linakabiliwa na changamoto kubwa ya msongamano wa magari na foleni za muda mrefu zinazosababisha hasara kubwa ya kifedha kila siku na kuchelewesha shughuli za kiuchumi...
2 Reactions
4 Replies
26 Views
Kuna siku nilijaribu kumtukuza mtukufu madam na taasisi yake humu JF Nilitaka kutupa simu na nilijiona kweli mimi sina uvumilivu tena hapo nilijiandaa Sipati picha hao jamaa wana mioyo gani hata...
9 Reactions
28 Replies
150 Views
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa Ladhu, amesema baadhi ya watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko, akisisitiza kuwa Chama hicho hakiwezi kuwa mfuasi wa ajenda za kisiasa...
6 Reactions
67 Replies
723 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
166 Reactions
676K Replies
43M Views
Friends and Enemies, Wafuasi wa chadema na wote wanaoiunga mkono watambue kwamba hakuna kichaka amabacho wanaweza kukitumia kujificha na uhaini na uchochezi waliohusika nao kipindi kile cha...
3 Reactions
84 Replies
341 Views
Nguvu moja!!! Habari zenu Wana-JamiiForums na Wanasimba wanaoumia na timu hii, Imefika hatua sasa hapa Simba SC lazima tuambiane ukweli mchungu hata kama unauma. Kuna usaliti mkubwa wa kiufundi...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Ukimuuliza Atheist " Hicho kitanda ulicho lalia kimetengenezwa au kimetokea tu chenyewe? " . Atakujibu kimetengenezwa na mtu.". Haya sasa muulize " Huyo mtu alie tengeneza hicho kitanda unamjua au...
38 Reactions
512 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
2,082,029
Posts
55,975,275
Back
Top Bottom