Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mzuka wana jamvi ? Nimekuwa nikimfuatilia hotuba zake , post na matamko yake amekuwa mtu ambaye hachagui lugha wala Cha kuzungumza lolote linalo mjia twende. Press ya juzi alivyosema Mfamle wa...
11 Reactions
36 Replies
417 Views
Amani iwe kwenu wachambuzi jadidifu. Ninaleta hoja kwenu ili tuelimishane ikibidi tukosoane ama kuwajibishana Wanasiasa wengi kama siyo wote, wamekuwa wakionesha matendo yao fulani fulani kwa...
3 Reactions
29 Replies
1K Views
Wakuu, Aweee hii ni kali! Yaani mtu ana skendo kama mia kidogo anateuliwa kuwa Mbunge badala ya kwenda kuchunguzwa kwa tuhuma zote zilizoibuliwa dhidi yake. Samia anazidi kutuona manyani aisee...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari za usiku wanajamvi. Kwanza nikiri kuwa nilifanya uzembe Kwa kuleta ujamaa kwenye biashara. Nashughurika na Mambo ya Logistics sasa last year kuna jamaa yangu mmoja alifungua kampuni ya...
17 Reactions
44 Replies
3K Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Ndonde Totinan amejiondoa rasmi katika nafasi yake pamoja na kujivua uanachama wa chama hicho, akieleza kuwa uamuzi...
4 Reactions
14 Replies
206 Views
Mimi nipo hapa napunguza stress za dunia Kulia ina ruhusiwa ila usikate tamaa maisha hayajawai kuwa mepesi ata kwa matajiri kaza moyo All in all sita wafundisha vyote sawa 😄 Happy Easter Day...
4 Reactions
44 Replies
249 Views
Nahitaji kuwa billionea kwa haraka sana kama Vunja Bei, Diamond Plantumz. Ideas gani nzuri ya biashara kama nikija nayo nitafanikiwa kwa haraka sana.
2 Reactions
57 Replies
8K Views
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, ametoa mapendekezo yake ya namna ya kudhibiti ubadhirifu wa mali za umma nchini Tanzania, akisisitiza kuwa bila mabadiliko...
1 Reactions
13 Replies
115 Views
Kama Mwanachadema wa Kanda ya Kaskazini wa Chadema, naijua kanda hii vizuri – tumejenga imani ya wananchi kwa miaka mingi, tumevumilia mateso, na tumeendelea kuwa nguvu ya mabadiliko Nawakumbusha...
4 Reactions
29 Replies
186 Views

FORUM STATS

Threads
2,049,354
Posts
55,182,208
Back
Top Bottom