Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hey people, Uzi huu ni wa kuwaaga wanaJF wenzangu Nimekutwa na cancer ambayo kimsingi nimepewa taarifa kwamba ndani ya miezi miwili sitakuwepo Naumia lakini sina jinsi
10 Reactions
254 Replies
2K Views
Copied from facebook USINUNUE TV KWA KUKURUPUKA FUATA MWONGOZO HUU Kwenye maduka ya vifaa vya kielektroniki, kuna mtego mkubwa sana unaowatasa watu wengi wanaotafuta TV za bei nafuu. Mteja...
6 Reactions
9 Replies
147 Views
Kwasababu, mpaka sasa uhakika wa makamu mwenyekiti wa chadema taifa John Heche kuvuliwa nyadhifa zote za uongozi ndani ya chadema taifa na Baraza kuu la chadema taifa September 15 ni 100%...
2 Reactions
7 Replies
23 Views
  • Featured
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, imeahirishwa hadi Jumatatu, Agosti 17, 2026, baada ya upande wa Jamhuri kuomba muda zaidi kutokana na changamoto za kiafya alizopata...
12 Reactions
67 Replies
2K Views
China imezidi kuikalia kooni Marekani kwenye vita ya teknolojia ya AI hivi kwamba Marekani imeanza kuhofia kukosa ushawaishi na kuanza kuyapiga mikwara mataifa mengine duniani Iko hivi: Kwa...
0 Reactions
9 Replies
51 Views
Ndugu Watanzania! Nchi yetu imeingia katika dimbwi la matope na kinyesi. Tanzania inatuhumiwa kupeleka watu kwenda kusaidia kupora Uchaguzi wa Zambia kumsadia Hakainde Hichilema anayesadikika kuwa...
5 Reactions
10 Replies
78 Views
Mgombea Urais wa Upinzani, Brian Mundubile kutokea chama cha National Reconciliation Party for Unity and Prosperity’s (NRPUP), amesema kuwa chama tawala cha Rais anayemaliza muda wake, hakiwezi...
10 Reactions
73 Replies
860 Views
Ndugu zangu habari yenu, Ninahitaji msaada wa kampuni isiyo na longo longo ya kusafirisha parcels kutoka China, Lengo ni kununua bidhaa toka Pinduoduo. Nahitaji inayo kubali kusafirisha parcel...
0 Reactions
7 Replies
51 Views
Habari za chinichini zinapenya kutoka viunga vya UDOM na mitandao ya kijamii kwamba kitu kilichomponza mhadhiri wa UDOM, Dr Kaijage, na kujikuta akipewa kesi ya ugaidi, ni ujasiri wake wa...
19 Reactions
59 Replies
705 Views
Bana nimeona watu wengi wakipambana na pesa kama ni jambo la maisha, lakini ukweli ni kwamba pesa ni kama chumvi, ukikosea utajua shida lakini ukiweka nyingi kwenye chakula unaharibu kila kitu...
7 Reactions
23 Replies
169 Views

FORUM STATS

Threads
2,081,437
Posts
55,961,053
Back
Top Bottom