Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Dada angu amechukua sura ya baba, mimi nimechukua sura ya mama, dada angu sio mbaya, hapana, ila tu hua inaonekana kama nimemzidi uzuri, watu wanasema mbona dada ako umemzidi uzuri. kuna muda...
0 Reactions
5 Replies
6 Views
Jeshi la Polisi limelazimika kuwahi eneo la tukio na kuingilia kati taharuki iliyoibuka Kimara Mwisho, Wilayani Ubungo Mkoani Dar es salaam jioni hii baada ya Wananchi wa eneo hilo kumpiga...
2 Reactions
4 Replies
5 Views
Kuacha kazi kwa ajili ya ndoto zako ni ujasiri au ujinga !
2 Reactions
12 Replies
36 Views
Wakuu twende katika hoja. Latra walisema asitokee mtu akapandisha bei ya nauli mpaka mamlaka ikae. Baadhi ya vyombo vya usafiri vimepandisha nauli. Kama vile bodaboda, bajaji na mabasi. Kabla ya...
8 Reactions
7 Replies
118 Views
Kama raha za muda mfupi hapa duniani zinafurahisha moyo namna hii... basi ni dhahiri tutakapoingia mbinguni tuta-enjoy sana sana! Tuta-enjoy kwa sababu huko uzima ni wa milele. Huko hakuna vita...
7 Reactions
28 Replies
178 Views
Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu (atheists) kunahitaji hekima, subira, na hoja zenye mashiko ya kimantiki badala ya kunukuu maandiko pekee. Katika mazingira ya Kiislamu, mjadala huu...
10 Reactions
116 Replies
538 Views
Naona ukimya wetu wakristo wameingia virus na kuharibu taswira ya ukristo Yaani wakristo manyumbu nao wanamwita huyu bwana prophet na kumpelekea sadaka 1. Kujipa cheo cha Mwenyekiti wa wanaume...
9 Reactions
73 Replies
484 Views
Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei. Vyombo...
29 Reactions
12K Replies
182K Views
Wadau naomba ushauri wenu. Nimekutana na mwanamke ambaye kiukweli yuko vizuri kifedha kuliko mimi. Tatizo linalonichanganya ni kwamba ana tabia ya kujiangalia yeye tu na wakati mwingine anaonesha...
2 Reactions
21 Replies
80 Views
‘CNG’ ni nini? ‘CNG’ au kwa kirefu ‘Compressed Natural Gas’ (Gesi asilia iliyohifadhiwa kwa mgandamizo mkubwa)ni nishati inayoweza kutumika kama mbadala wa petroli, dizeli na gesi ya kupikia...
29 Reactions
116 Replies
15K Views

FORUM STATS

Threads
2,049,529
Posts
55,187,013
Back
Top Bottom