Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari zenu wanajamvi? Mimi ni Mpambanaji(Muhitimu wa chuo kikuu UDSM) nilimaliza pale 2015. Nina miaka 35, nna familia ya mke na watoto watano. Kwa sasa niko Kilimanjaro. Katika harakati nyingi...
14 Reactions
39 Replies
381 Views
Ni muda wa kujiachia.. Masingo wanajigeuza tu vitandani Wakataa ndoa wako busy na chabo na vichelema🥸
16 Reactions
148 Replies
1K Views
Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu (atheists) kunahitaji hekima, subira, na hoja zenye mashiko ya kimantiki badala ya kunukuu maandiko pekee. Katika mazingira ya Kiislamu, mjadala huu...
1 Reactions
21 Replies
34 Views
Wanaukumbi. 🇺🇸🇮🇷 Iran imetoa wito kwa wafanyakazi wote wa Google, Nvidia, Apple, IBM, Tesla, Intel na Cisco kuondoka kwenye makampuni hayo ifikapo saa nane mchana kwa saa za Tehran siku ya...
7 Reactions
154 Replies
2K Views
Unatafuta vifaa bora vya ujenzi kwa bei nzuri? Karibu VN Warehouse Limited, kampuni iliyosajiliwa kisheria inayojihusisha na uuzaji wa vifaa mbalimbali vya ujenzi kwa jumla na rejareja. Tunatoa...
4 Reactions
78 Replies
395 Views
Kanali Ruhollah Minakhani, mwanachama wa Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Iran (IRGC), aliuawa katika shambulio la anga katika jimbo la Zanjan.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari wana JF Matumaini yangu wote mko poa kabisa. Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
274 Reactions
431K Replies
19M Views
Tukumbuke Samia aliunda tume ya kuchunguza matukio ya October 29, tume hii iliundwa tarehe 18 November na kupewa muda wa miezi 3 ambapo Bado takribani saa 24 siku iwadie, kuchunguza na kutoa...
7 Reactions
27 Replies
546 Views
TAARIFA KWA UMMA: KUSITISHA KWA MUDA LESENI YA HUDUMA YA UTANGAZAJI WA MAUDHUI MTANDAONI YA JAMBO ONLINE TV Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), inatoa taarifa kwa Umma kuwa, mnamo tarehe 31...
9 Reactions
38 Replies
757 Views
Kipekee sana nimekuwa na heshma kubwa na ukatoliki. Kama ilivyo kwa wakristo wengi, wengi wetu, kwa kiasi kikubwa malezi ya utotoni tumeyapatia katika kanisa katoliki, baadaye baadhi yetu...
3 Reactions
61 Replies
698 Views

FORUM STATS

Threads
2,049,428
Posts
55,184,284
Back
Top Bottom