Ndugu
Je hii ramani inaenea kwenye eneo la aquare mita 150 na kubakiza sehemu ya kupaki kagari na kuanika nguo.... Naombeni mawazo yenu ikibidi sana naombeni na vipimo
Mimi nilikuwa na waza...
Bei za mafuta zimetangazwa, wakisema imechangiwa na vita mashariki ya kati. Ile stock walisema ipo ya kutosha hadi July imeishia wapi?
Wazee wa kupiga dili washaingia mzigoni, yaani wanasahau...
Mfungo unaelekea ukingoni, bado siku nne mambo yetu yarudi paanze kuchangamka sasa.
Jibu hilo swali la kwenye kichwa cha uzi au jichagulie jingine hapo chini tupige story!
Hakuna utamu kama...
Tokea izinduliwe mwaka 1997, Land Rover Freelander imejizolea umaarufu sana kama off-road SUV na mauzo yake yalikua mazuri sana.
Sijui kwanini, ila JRL wakaona waifikishe tamati mwaka 2015, ili...
Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei.
Vyombo...
Niaje wadau, naona sahivi huko maeneo ya wazi yanaondoka
Biafra ilipondoka pembeni yake mbele ya chuo kikuu huria yalipokuwa yanapaki ma coaster special washazungushia bati, coaster zimeoondolewa...
Mfanyabiashara Azim Dewji amesema Iran imewahi kuisaidia Tanzania katika nyakati ngumu, ikiwemo msaada wa meli mbili za mafuta miaka ya 70 wakati wa uhaba mkubwa.
Amesisitiza kuwa urafiki wa...
Mzuka wana jamvi ?
Nimekuwa nikimfuatilia hotuba zake , post na matamko yake amekuwa mtu ambaye hachagui lugha wala Cha kuzungumza lolote linalo mjia twende.
Press ya juzi alivyosema Mfamle wa...
Habari wana JF
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.