Niaje wadau, naona sahivi huko maeneo ya wazi yanaondoka
Biafra ilipondoka pembeni yake mbele ya chuo kikuu huria yalipokuwa yanapaki ma coaster special washazungushia bati, coaster zimeoondolewa...
Ofisi ya Waziri Mkuu na taasisi zilizo chini yake imeliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuidhinisha jumla ya shilingi trilioni 12.5 kwa mwaka wa fedha 2026/2027.
Hayo yameelezwa leo...
Commercial and residential units for sale.
Experience a luxury Seaview city living in our stylish and modern project located at Mikocheni Ursino st.
Our prime location offers easy access to...
Hali ya sintofahamu ya ardhi inayodaiwa “kutembea” imezua hofu kubwa katika kitongoji cha Makandeni, Kijiji cha Marieni, Kata ya Chome wilayani Same Mkoa wa Kilimanjaro, baada ya kusababisha nyufa...
Kulingana na hali ya Mvutano unaoendelea Masharaiki ya Kati Mataifa mengi kwa sasa yanapitia hali ngumu kwenye issue ya mafuta hasa baada ya Iran kufunga Mlango mkuu wa bahari ya Hormuz...
Habari ndugu zangu Mimi si mwandishi mzuri Ila naamini itasomeka tu. Kama kichwa cha habari hapo juu kisemavyo, Kiuhalisia kabisa hapo mwanzo ilikua ni jambo la kawaida sana kusikia mzee fulani...
Rais Samia na mwanao andaeni mlio
Rais Samia na mwanao Abdul andaeni mlio mtakaokuwa mkilia pale muda wa kukandwa kwenu utakapofika kwa madudu mnayoyafanya mkiwa Ikulu.
1. Kisiasa
Kisiasa Rais...
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa anafikiria kwa kina kuiondoa Marekani kutoka kwa Muungano wa NATO baada ya washirika wa muungano huo kushindwa kuunga mkono hatua ya kijeshi za Marekani...
Zongo ni aina ya uchawi wa kijinga na mwepesi kabisaaa kufanyiwa,uchawi huu hupendwa sana na wachawi wa mikoa ya Tanga na morogoro sehemu za Turiani na baadhi ya sehemu za mombasa,yaani huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.