Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,998
- 32,441
Kaka = Dada
Kama Uislaam ndio udini basi mimi ni mdini kwa sana tu.
FF,
Umemjibu vizuri sana, halafu huwa nashangaa ukiwajibu Chadema unaambiwa eti unachafua hali ya hewa.
Kaka = Dada
Kama Uislaam ndio udini basi mimi ni mdini kwa sana tu.
Hukumuonea huruma alipopata kura 3 kwenye uchaguzi wa chama cha misikitini CUF, ndio umuonee huruma leo!? tupunguze unafki.zitto akionekana kwenye kanisa la FRANSIS MARIA tu, mambo yake takuwa vizuri ndani ya CDM. namuonea huruma sana Abdalla safari
sasa kaingia chama cha kanisa ndio atazidi kuumbuka. maana imani yake ndio kikwazo.hakujifunza kutoka kwa zitto? tunasikia hata jina lake halipo ubaloziniHukumuonea huruma alipopata kura 3 kwenye uchaguzi wa chama cha misikitini CUF, ndio umuonee huruma leo!? tupunguze unafki.
sasa kaingia chama cha kanisa ndio atazidi kuumbuka. maana imani yake ndio kikwazo.hakujifunza kutoka kwa zitto? tunasikia hata jina lake halipo ubalozini
Binafsi wakati wote namwona zitto ndumila kuwili mkubwa na cdm wanatakiwa kumfukuza mara moja kwani kuna uhakika kuwa anaandaliwa vikali kwa pesa nyingi za epa na ccm ili kuihujumu cdm lkn anafanya kwa tahadhari sn maana anajua cdm ni chama makini , inteligensia ya cdm ni zaidi ya ile ya serikali
Zitto Kabwe ana kiherehere sana hata juzi Juma Mkamia aliomba muongozo ili ajuwe kwamba Zitto Kabwe nae ni miongoni mwa wasemaji wa ikulu!!??
Watu wa Kigoma kwenye siasa wana matatizo sana hasa hawa ambao wamechanganyika na utusi ndani yake.
Haki Gani unataka Ndani ya Chama? si Ndio hizo za akina Hamad wa Cuf? Ukiwa katika Chama auhitaji hata cheo kwenye Chama ni kufuata sera za chama kuboresha nchi; Angalaia Marekani au Uingereza Wabunge wao hawagombei Uongozi ndani ya chama chao na kuvuana nguo... na kuitana Maneno wanaenda kwenye Majimbo yao na kuonyesha tofauti kwa kunufaisha Jimbo hilo sio Chama...
Eti ZITTO alipokuwa Katibu Mkuu wa Chadema alinufaisha wanachama wa Chadema what Crazy antique is that? Ndio Maana tunarudi nyuma sisi na vyama Vingi; Umeona Kenya wanagombea Ukatibu Mkuu wa Chama, wao wanaishu nyingine naona tutaipata pia kila mtu anataka kuwa Rais...
Ajabu kweli ETI ZITTO hatendewi haki CHADEMA; ubaya wetu sisi Madaraka Mengi kweli...
Zitto anafanyiwa kila hila iuliwe "character" yake.
Hivi Zitto anafikiri kuna siku atakuwa Katibu Mkuu au atakuwa Mwenyekiti au atakuwa mgombea Urais wa magwanda? Maaaweee! labda aukane Uislaam.
Namsikitikia sana kupoteza nguvu zake bure, lakini ndio watu wa UWT walivyo, maslahi ya Serikali mbele halafu yao halafu ya wananchi. Ingekuwa hafati "amri" saa hizi zamani angekuwa hayupo na magwanda.
Kama Unasema Hivyo vipi Wanachama Wakristo wa CUF ni wabeba Mabegi as well?Mwanachama muislam chadema anatakiwa kubeba mabegi ya wakubwa wake period..
Wanatakiwa waongozwe wasiongoze kamwe..kila kitu kiko wazi huko
Kwani amekuambia anavitaka vyeo hivyo? au unampa kuanzisha fitina za Hamad wa CUF??
Na asiyejuwa kwamba Topical ni mpemba atakuwa ni mgonjwa zaidi.Asiyefahamu kuwa chadema ni chama kwa ajili wakristo..Tanzania; atakuwa ni mgonjwa
Asiyefahamu kuwa chadema ni chama kwa ajili wakristo..Tanzania; atakuwa ni mgonjwa