Zitto ang'atuka uongozi ACT Wazalendo. Mbowe atang'atuka lini CHADEMA?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,060
49,744

View: https://www.instagram.com/p/C4IKzMCq3zK/?igsh=MWJuYmhjOGptYWk4Mw==
Uongozi ni kuachiana Kijiti. Hivyo ndivyo amefanya bwana Zitto Kabwe baada ya kung'atuka nafasi ya Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Ili damu changa na Mpya zishike hatamu.

Zitto anaachia ngazi ikiwa amekijenga chama hicho kujikita kwenye hoja na mambo ya msingi(issues) badala ya kile Chama Kingine Cha Matukio na kisicho na ajaenda yaani Chadema.

Chadema imekuwa chama Cha Matukio na upepo Kwa sababu ya kuwa na Kiongozi Sultani bwana Mbowe ambae kimsingi hana jipya, kiasi kwamba kadiri anavyozeeka ndivyo na chadema kinazeeka 😁😁

Alichosema Zitto akiwa katika kipindi cha Power Breakfast, Clouds FM
"Na sasa hivi Zitto Kabwe anatoka kwenye uongozi na chama kinapaswa kuendelea kuwepo. Sisi tunajitahidi kutengeneza taasisi ambayo ni zaidi ya mtu mmoja. Sasa inawezekana kwamba vyama vingine wao hawaoni kama ni jambo ambalo lina manufaa kwao. Kwahiyo ni vigumu sana Mimi Kiongozi wa Chama kingine kutoa maoni kuhusiana na taratibu za vyama vingine na ukitaka hayo maoni inabidi uwaite na uwaulize wao" Zitto Kabwe, aliyekuwa Kiongozi ACT WAZALENDO


My Take
Hongera bwana Zitto kwa Kufuata misingi ya Baba wa Taifa.

ACT imeonesha Uongozi kwenye mambo mengi hasa kwenye uchambuzi wa kiuchumi na jambo la Bima ya Afya, kule mna hoja za msingi sana Serikali ifuate ushauri wao.

View: https://twitter.com/MwanzoTvPlus/status/1764739794402189370?t=lnKeyQud0ZKG-xFneHxuSQ&s=19
 
Uongozi ni kuachiana Kijiti. Hivyo ndivyo amefanya bwana Zitto Kabwe baada ya kung'atuka nafasi ya Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Ili damu changa na Mpya zishike hatamu.

Zitto anaachia ngazi ikiwa amekijenga chama hicho kujikita kwenye hoja na mambo ya msingi(issues) badala ya kile Chama Kingine Cha Matukio na kisicho na ajaenda yaani Chadema.

Chadema imekuwa chama Cha Matukio na upepo Kwa sababu ya kuwa na Kiongozi Sultani bwana Mbowe ambae kimsingi hana jipya, kiasi kwamba kadiri anavyozeeka ndivyo na chadema kinazeeka 😁😁

Alichosema Zitto akiwa katika kipindi cha Power Breakfast, Clouds FM


My Take
Hongera bwana Zito Kwa Kufuata misingi ya Baba wa Taifa.

ACT imeonesha Uongozi kwenye mambo mengi hasa kwenye uchambuzi wa kiuchumi na jambo la Bima ya Afya,kule mna hoja za msingi sana Serikali ifuate ushauri wao.
Vipi kuhusu kinana. Mzee sabaya na kina zelote
 
Uongozi ni kuachiana Kijiti. Hivyo ndivyo amefanya bwana Zitto Kabwe baada ya kung'atuka nafasi ya Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Ili damu changa na Mpya zishike hatamu.

Zitto anaachia ngazi ikiwa amekijenga chama hicho kujikita kwenye hoja na mambo ya msingi(issues) badala ya kile Chama Kingine Cha Matukio na kisicho na ajaenda yaani Chadema.

Chadema imekuwa chama Cha Matukio na upepo Kwa sababu ya kuwa na Kiongozi Sultani bwana Mbowe ambae kimsingi hana jipya, kiasi kwamba kadiri anavyozeeka ndivyo na chadema kinazeeka 😁😁

Alichosema Zitto akiwa katika kipindi cha Power Breakfast, Clouds FM


My Take
Hongera bwana Zito Kwa Kufuata misingi ya Baba wa Taifa.

ACT imeonesha Uongozi kwenye mambo mengi hasa kwenye uchambuzi wa kiuchumi na jambo la Bima ya Afya,kule mna hoja za msingi sana Serikali ifuate ushauri wao.
kiongozi wa kiimla wa chadema,
ukimuangalia na kumpima vizuri kisiasa, anayo nia ya kuachia ngazi ila moyo wake mgumu sana unasita na anahofu sana chama kuwa mikononi mwa puppet...

hiyo makosa hataki kabisa kuifanya...
 
Uongozi ni kuachiana Kijiti. Hivyo ndivyo amefanya bwana Zitto Kabwe baada ya kung'atuka nafasi ya Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Ili damu changa na Mpya zishike hatamu.

Zitto anaachia ngazi ikiwa amekijenga chama hicho kujikita kwenye hoja na mambo ya msingi(issues) badala ya kile Chama Kingine Cha Matukio na kisicho na ajaenda yaani Chadema.

Chadema imekuwa chama Cha Matukio na upepo Kwa sababu ya kuwa na Kiongozi Sultani bwana Mbowe ambae kimsingi hana jipya, kiasi kwamba kadiri anavyozeeka ndivyo na chadema kinazeeka 😁😁

Alichosema Zitto akiwa katika kipindi cha Power Breakfast, Clouds FM


My Take
Hongera bwana Zito Kwa Kufuata misingi ya Baba wa Taifa.

ACT imeonesha Uongozi kwenye mambo mengi hasa kwenye uchambuzi wa kiuchumi na jambo la Bima ya Afya,kule mna hoja za msingi sana Serikali ifuate ushauri wao.
Ni lini chama chakavu cha mboga mboga kitang'atuka, maana kime overstay madarakani, na kwa sasa hakina jipya tena?
 
Uongozi ni kuachiana Kijiti. Hivyo ndivyo amefanya bwana Zitto Kabwe baada ya kung'atuka nafasi ya Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Ili damu changa na Mpya zishike hatamu.

Zitto anaachia ngazi ikiwa amekijenga chama hicho kujikita kwenye hoja na mambo ya msingi(issues) badala ya kile Chama Kingine Cha Matukio na kisicho na ajaenda yaani Chadema.

Chadema imekuwa chama Cha Matukio na upepo Kwa sababu ya kuwa na Kiongozi Sultani bwana Mbowe ambae kimsingi hana jipya, kiasi kwamba kadiri anavyozeeka ndivyo na chadema kinazeeka 😁😁

Alichosema Zitto akiwa katika kipindi cha Power Breakfast, Clouds FM


My Take
Hongera bwana Zito Kwa Kufuata misingi ya Baba wa Taifa.

ACT imeonesha Uongozi kwenye mambo mengi hasa kwenye uchambuzi wa kiuchumi na jambo la Bima ya Afya,kule mna hoja za msingi sana Serikali ifuate ushauri wao.
Zitto kaitumikia ccm kwa bidii muda mrefu, ukute sasa hao ccm wanataka kumpa majukumu mengine
 
Uongozi ni kuachiana Kijiti. Hivyo ndivyo amefanya bwana Zitto Kabwe baada ya kung'atuka nafasi ya Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Ili damu changa na Mpya zishike hatamu.

Zitto anaachia ngazi ikiwa amekijenga chama hicho kujikita kwenye hoja na mambo ya msingi(issues) badala ya kile Chama Kingine Cha Matukio na kisicho na ajaenda yaani Chadema.

Chadema imekuwa chama Cha Matukio na upepo Kwa sababu ya kuwa na Kiongozi Sultani bwana Mbowe ambae kimsingi hana jipya, kiasi kwamba kadiri anavyozeeka ndivyo na chadema kinazeeka 😁😁

Alichosema Zitto akiwa katika kipindi cha Power Breakfast, Clouds FM


My Take
Hongera bwana Zito Kwa Kufuata misingi ya Baba wa Taifa.

ACT imeonesha Uongozi kwenye mambo mengi hasa kwenye uchambuzi wa kiuchumi na jambo la Bima ya Afya,kule mna hoja za msingi sana Serikali ifuate ushauri wao.
Mbona sioni mkiuliza kuhusu Lipumba ambaye amekuwa kiongozi wa Chama Toka kianzishwe na sasa ni.miaka 32 na bado ni kiongozi mbowe kachukua juzi tu 2004
 
Back
Top Bottom