wewe ndiye aliyevulunda kabisaaa, nguvu nyingi kumbe pumb, la udini linakujaje hapa, kama ni udini angalia Dr. Slaa alivyopokelewa hapo zenj. umaarufu ni chama chenyewe sio mtu binafsi.
Mkuu sijaamini macho yangu jinsi CDM inavyoungwa mkono jimbo la UZINI