Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,783
Ina maana umepoteza muda wako kumsoma huyo alieandika Gazeti hapa badala ya point chache aeleweke!?
eti, hata mm nashangaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana umepoteza muda wako kumsoma huyo alieandika Gazeti hapa badala ya point chache aeleweke!?
Sio lazima msuluhishi akawa dr. ndugu wawili wakigombana chukua jembe kalime wakipatana beba kapu ukavune. sheikh wa mkoa anaweza kuwasuluhisha kwa kusoma vifungu ktk msaafu au ktk hadithi za mtume. slaa anawajua petro, mikael yohana nk.Si kweli unayosema mtoa mada.Gazeti la mwanahalisi halijamtaja mtu. Isipokuwa ninachojua Mwanahalisi wana bifu kubwa na Zitto.Sijui chanzo cha ugomvi wao kwani Zitto aliwahi naye kunukuliwa akisema mhariri wa mwanahalisi ameishia darasa la nne.
Kwa hiyo ni vita yao wenyewe.Lakini nadhani umefika wakati Zitto na Kubenea wapatane.
Waachane na vita yao.Wanaweza hata kumtumia Dr Slaa kuwapatanisha.Na hilo linawezeka kwa sababu kwanza wote ni wanaChadema na pili hata kiimani wote ni waislam.Wanaweza kupatana na maisha yakasonga mbele.Naamini wote wako humu jamvini na watatafakari ushauri wangu.
acha uongo kama hujui piga kimya mwanahalis linamilikiwa na Antony komu kwa fedha za ruzuku za chadema,habari ndio hiyo hatupendi kuwaumua lakini mnatuchokoza,tutasema sasa.
Raia mwema,mwanahalisi na t daima yote ni chadema type, japo yanasingana kutokana na viongozi wa cdm wanaoyamiliki kutofautiana katika mabo mbalimbali huko chamani ndio maana kila mtu anakimbilia kujijenga na kumbomoa mwenzake kwenye gazeti lake,pia mbowe na kubenea ni washkaji wakubwa sana sana licha ya komu kulimiliki mwanahalisi ambalo limetekwa na mafisadi.
Ndio maana tuna shaka sana na ukaribu wa chadema na mafisadi,wanchedema mkiona hao jamaa wanawachezea kwa ku side na mafisadi nendeni CCK mkakipe nguvu kile chama.
Hivi vyama ni sawa na makoti tu ukiona koti linakubana unalivua,namsikitikia sana dr slaa masikini,yeye peke yake ndio hana gazeti na hajui uhusiano wa Lowassa, Rostam, Mbowe na komu ilivyo, angejua angeondoka zake aende CCK
nilisoma gazeti la mwanahalisi la jana na kuona jinsi chadema ilivyojibu hoja ya mh zitto kuhusu chanzo cha mazungumzo ya chadema na rais jk.
Licha ya kuwa ile habari imetoka kwenye gazeti kama andishi, lkn ukiangalia kwa undani utagundua ilikuwa ni kauli ya chama.
Hii tofauti na viongozi wengine wa chama, huzungumza mengi ambayo kimsingi yanapingana na chama.
Lakini uongozi wa juu hauchukui jitihada za kukanusha.tayari ztto alitoa makala kuhusu uhusiano wake na uongozi wa juu hasa baada ya kudai siku hizi hata patokee msiba haambiwi
jee kwanini imefikia hali hii
Mwanahalisi ni Gazeti la kipuuzi sana, Kubenea, nae anataka ubunge, kumbe maneno mengi kujipendekeza kwa Slaa, kumbe nia yake nae ubunge.
Hapio ndipo ilipofika CHAMEMA ambayo inajinadi kuwa ni chama cha kitaifa ni kwa nini anakosolewa ZITO peke yake na si LEMA aneyefanya madudu kila kukicha? Ubaguzi huu utaifikisha wapi Chadema na mustakabala wao wa kuichukuwa Tanzania wanayodai imeharibiwa?Nilisoma gazeti la mwanahalisi la Jana na kuona jinsi Chadema ilivyojibu hoja ya Mh zitto Kuhusu Chanzo cha mazungumzo ya CHADEMA na rais JK.
Licha ya kuwa ile habari imetoka kwenye gazeti kama andishi, lkn ukiangalia kwa undani utagundua ilikuwa ni kauli ya Chama.
Hii tofauti na viongozi wengine wa Chama, huzungumza mengi ambayo kimsingi yanapingana na Chama.
Lakini uongozi wa juu hauchukui jitihada za kukanusha.tayari ztto alitoa makala kuhusu Uhusiano wake na Uongozi wa juu hasa baada ya kudai siku hizi hata patokee msiba haambiwi
jee kwanini imefikia hali hii