Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Cheki hii kutoka Wikipedia ya Kiswahili:
Isimu (au "maarifa ya lugha") ni sayansi inayochunguza lugha. Imegawiwa katika matawi mbalimbali:
Isimu (au "maarifa ya lugha") ni sayansi inayochunguza lugha. Imegawiwa katika matawi mbalimbali:
- fonetiki kuhusu sauti zinazotolewa na binadamu
- fonolojia kuhusu mfumo wa sauti katika lugha fulani
- mofolojia kuhusu mfumo wa maneno
- sintaksi kuhusu mfumo wa sentensi
- semantiki kuhusu maana