Dkt. Slaa: Viongozi kuwa mstari wa mbele kwenye maandamano sio lazima

Juma Wage

Member
Sep 8, 2023
60
201
ALIYEKUWA Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dkt.Wilbroad Slaa amesema pamoja na kutokushiriki katika siasa za jukwaani lakini hataacha kushirikisha uzoefu wake kwa vijana ili wautumie katika harakati zao.

Slaa amezungumza hayo leo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa JAMBOTV nyumbani kwake, Mbweni Jijini Dar es Salaam.

"Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 40 katika siasa, je niende nao kaburini? Katika kipindi cha mapambano makali ya kutafuta demokrasia kama hiki? hapana" amesema Dkt. Slaa.

Kuhusu kutokuonekana katika maandamano ya hivi karibuni ya Chadema licha ya yeye mwenyewe kushiriki kuhamasisha Dk.Slaa amesema yeye ni mpanga mikakati ambayo ni muhimu zaidi kuliko yeye kuonekana mbele.

"Vita siyo kuwepo mstari wa mbele bali ni mikakati hata Zelensky kule Ukraine unamuona ameenda vitani?" amesema Dk.Slaa.

"Kitendo cha Mbowe na watoto wake kwenda kwenye maandamano ni ujinga uliokubuhu, Kamanda awe kwenye mikakati zaidi kuliko kujitokeza mbele kwa sababu akiuwawa mmekwisha wote" amesema Dkt Slaa.
IMG-20240206-WA0029(1).jpg
 
Huyu mzee angenyamaza ili aendelee kusalimiwa na wajukuu zake bila hivyo watamdharau na kumuona Babu kumbe ......
 
..kuna wakati muongoza vita haendi mstari wa mbele.

..lakini kuna nyakati muongoza vita hulazimika kwenda mstari wa mbele.

..wakati wa vita vya Uganda [ the battle of Sembabule]kuna kipindi hali ilikuwa mbaya mstari wa mbele.

..Mazingira hayo yalimlazimisha Brig.Muhidin Kimario aliyekuwa aliongoza vita kwenda mstari wa mbele na matokeo yake majeshi yetu yakapata ushindi.
 
..kuna wakati muongoza vita haendi mstari wa mbele.

..lakini kuna nyakati muongoza vita hulazimika kwenda mstari wa mbele.

..wakati wa vita vya Uganda [ the battle of Sembabule]kuna kipindi hali ilikuwa mbaya mstari wa mbele.

..Mazingira hayo yalimlazimisha Brig.Muhidin Kimario aliyekuwa aliongoza vita kwenda mstari wa mbele na matokeo yake majeshi yetu yakapata ushindi.
Sahihi kabisa
 
Mlidai Mbowe kaenda Marekani kukimbia maandamano. Tena mkadai watoto wake waandamane. Kaandamana na watoto wake mnamtukana. Shida kweli
 
Doctor wa mihogo hapo ameteleza, ni kweli hakusikia propaganda iliyokuwa inasambazwa?
 
ALIYEKUWA Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dkt.Wilbroad Slaa amesema pamoja na kutokushiriki katika siasa za jukwaani lakini hataacha kushirikisha uzoefu wake kwa vijana ili wautumie katika harakati zao.

Slaa amezungumza hayo leo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa JAMBOTV nyumbani kwake, Mbweni Jijini Dar es Salaam.

"Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 40 katika siasa, je niende nao kaburini? Katika kipindi cha mapambano makali ya kutafuta demokrasia kama hiki? hapana" amesema Dkt. Slaa.

Kuhusu kutokuonekana katika maandamano ya hivi karibuni ya Chadema licha ya yeye mwenyewe kushiriki kuhamasisha Dk.Slaa amesema yeye ni mpanga mikakati ambayo ni muhimu zaidi kuliko yeye kuonekana mbele.

"Vita siyo kuwepo mstari wa mbele bali ni mikakati hata Zelensky kule Ukraine unamuona ameenda vitani?" amesema Dk.Slaa.

"Kitendo cha Mbowe na watoto wake kwenda kwenye maandamano ni ujinga uliokubuhu, Kamanda awe kwenye mikakati zaidi kuliko kujitokeza mbele kwa sababu akiuwawa mmekwisha wote" amesema Dkt Slaa.viongozi wa chadema walifanya kama walivyo kwasababu maalum. Moja wapo ikiwa ni kuzima propaganda za maccm za kutisha watu kwa kuwambia wasiandamani kwani viogozi wanao wambia waandamane wenyewe Watoto wao wako ulaya.
 
ALIYEKUWA Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dkt.Wilbroad Slaa amesema pamoja na kutokushiriki katika siasa za jukwaani lakini hataacha kushirikisha uzoefu wake kwa vijana ili wautumie katika harakati zao.

Slaa amezungumza hayo leo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa JAMBOTV nyumbani kwake, Mbweni Jijini Dar es Salaam.

"Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 40 katika siasa, je niende nao kaburini? Katika kipindi cha mapambano makali ya kutafuta demokrasia kama hiki? hapana" amesema Dkt. Slaa.

Kuhusu kutokuonekana katika maandamano ya hivi karibuni ya Chadema licha ya yeye mwenyewe kushiriki kuhamasisha Dk.Slaa amesema yeye ni mpanga mikakati ambayo ni muhimu zaidi kuliko yeye kuonekana mbele.

"Vita siyo kuwepo mstari wa mbele bali ni mikakati hata Zelensky kule Ukraine unamuona ameenda vitani?" amesema Dk.Slaa.

"Kitendo cha Mbowe na watoto wake kwenda kwenye maandamano ni ujinga uliokubuhu, Kamanda awe kwenye mikakati zaidi kuliko kujitokeza mbele kwa sababu akiuwawa mmekwisha wote" amesema Dkt Slaa.
Dkt. Salaa ameeleza vizuri kabisa, akili zimeanza kumrudia huyu mzee. siku zote huwa anajua maandamano ni dili za watu kutumia watu ili kupata chochote kitu. Ni bora kila mtu afanye kazi yake.
 
ALIYEKUWA Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dkt.Wilbroad Slaa amesema pamoja na kutokushiriki katika siasa za jukwaani lakini hataacha kushirikisha uzoefu wake kwa vijana ili wautumie katika harakati zao.

Slaa amezungumza hayo leo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa JAMBOTV nyumbani kwake, Mbweni Jijini Dar es Salaam.

"Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 40 katika siasa, je niende nao kaburini? Katika kipindi cha mapambano makali ya kutafuta demokrasia kama hiki? hapana" amesema Dkt. Slaa.

Kuhusu kutokuonekana katika maandamano ya hivi karibuni ya Chadema licha ya yeye mwenyewe kushiriki kuhamasisha Dk.Slaa amesema yeye ni mpanga mikakati ambayo ni muhimu zaidi kuliko yeye kuonekana mbele.

"Vita siyo kuwepo mstari wa mbele bali ni mikakati hata Zelensky kule Ukraine unamuona ameenda vitani?" amesema Dk.Slaa.

"Kitendo cha Mbowe na watoto wake kwenda kwenye maandamano ni ujinga uliokubuhu, Kamanda awe kwenye mikakati zaidi kuliko kujitokeza mbele kwa sababu akiuwawa mmekwisha wote" amesema Dkt Slaa.
Dkt. Salaa ameeleza vizuri kabisa, akili zimeanza kumrudia huyu mzee. siku zote huwa anajua maandamano ni dili za watu kutumia watu ili kupata chochote kitu. Ni bora kila mtu afanye kazi yake.
 
Dkt. Salaa ameeleza vizuri kabisa, akili zimeanza kumrudia huyu mzee. siku zote huwa anajua maandamano ni dili za watu kutumia watu ili kupata chochote kitu. Ni bora kila mtu afanye kazi yake.
Sio anaponda kwa sababu hahusiki kwenye mgao?

Mgao ungemuhusu angeponda kiasi cha povu hivyo?
 
ALIYEKUWA Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dkt.Wilbroad Slaa amesema pamoja na kutokushiriki katika siasa za jukwaani lakini hataacha kushirikisha uzoefu wake kwa vijana ili wautumie katika harakati zao.

Slaa amezungumza hayo leo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa JAMBOTV nyumbani kwake, Mbweni Jijini Dar es Salaam.

"Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 40 katika siasa, je niende nao kaburini? Katika kipindi cha mapambano makali ya kutafuta demokrasia kama hiki? hapana" amesema Dkt. Slaa.

Kuhusu kutokuonekana katika maandamano ya hivi karibuni ya Chadema licha ya yeye mwenyewe kushiriki kuhamasisha Dk.Slaa amesema yeye ni mpanga mikakati ambayo ni muhimu zaidi kuliko yeye kuonekana mbele.

"Vita siyo kuwepo mstari wa mbele bali ni mikakati hata Zelensky kule Ukraine unamuona ameenda vitani?" amesema Dk.Slaa.

"Kitendo cha Mbowe na watoto wake kwenda kwenye maandamano ni ujinga uliokubuhu, Kamanda awe kwenye mikakati zaidi kuliko kujitokeza mbele kwa sababu akiuwawa mmekwisha wote" amesema Dkt Slaa.

Tundu Lissu, Lema na Mbowe watoto wao wote wapo nje ya nchi. Wanasubiri Ruzuku na Madola ya Maandamano kutoka kwa mabeberu.
Wananchi tunasema, maandamano ni haki yao waandamane ila kwa sasa na sisi tupo bize na mambo yetu ya msingi kwenye maisha.
 
Doctor wa mihogo hapo ameteleza, ni kweli hakusikia propaganda iliyokuwa inasambazwa?
Slaa alisema siyo lazima Kiongozi kuwa mstari wa mbele kwenye maandamano,hayo mengine mleta uzi ameomgeza kwa malengo anayotajua mwenyewe.
 
Back
Top Bottom