Tetesi: Mbowe na Dkt. Slaa wafanya kikao cha siri jijini Dar es salaam

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,105
Taarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.

Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.

Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?
 
Taarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.

Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.

Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?
Slaa ni asset
 
Taarifa zilizotufikia hapa Mwanza ni kwamba Dkt. Slaa na Mbowe wamefanya kikao cha siri kuelea opresheni 255 kanda ya Kusini na kikao cha Dkt. Slaa kanda ya ziwa.

Majadiliano yao yamefuatia mkakati wa CHADEMA kuelekea uchaguzi wa viongozi 2024 pamoja na maandalizi ya mikutano ya siasa, uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Lakini pia Dkt. Slaa anaelezwa kupingana na mkakati wa Wakili Mwambukusi wakutaka ajiunge na Mbatia katika chama kipya anachotarajia kuhamia baada ya CCM kukabidhi NCCR kwa Selasini kibabe.

Je, kwa sasa Dkt. Slaa ni Asset au Liability kwenye siasa za upinzani hasa CHADEMA? Aendelee na mkakati wa kuungana na akina Mwambukusi au abaki kuwa neutral kwenye mfumo wa siasa huku akizihubiri sera za CHadema?
Mkutano wa siri ila wewe una habari zaote za kikao hicho cha siri?
 
Back
Top Bottom