Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 9,015
- 16,148
Habari za humu ndani....
Humu ndani PSV kachafua hali ya hewa..Habari za humu ndani....
mtoe legia haraka sana bado mabosi wake wanabet lose or drawLegia win
Krasnodar win
Genk win
Tatizo SUPABET namna ya ku-deposit na ku-withdraw mpunga ndo majanga!NINASHANGAZWA NA WANAO ENDELEA KUING'ANG'ANIA MERIDIANI SIJUI KANJUBAH KAWALISHA TENDE NA HALUA ZA WAPI NINYI?
WAKATI KUNA KAMPUNI KAMA
premierbet
supabet
ambazo ki msingi zina option kibao pendine zaidi hata ya meridian.
ukija ktk swala la kutoa pesa na kudeposit hapa
mkeka bet nadhani anaongoza sasa kila wkend naona wadau mnalialia tu ya nini kukumbatia kampuni isiyo sikia kilio cha wateja?
ni sawa na wale walio kumbatia kampuni moja ya mawasiliano ya simu ambayo kila uchwao ni kupandisha gharama za fifurushi tu wakati
there is a new sherrif in town......
chao.
premier je?Tatizo SUPABET namna ya ku-deposit na ku-withdraw mpunga ndo majanga!
premier je?
ATM daadek zaoKweli nimeamin hakuna pesa rahisi.
Jana mkeka wangu uliishi hadi usiku kabisa Atletico ndio akauchana, ila wa leo mapemaaaaaah PSV kashauchana.
All da best mnaosubiria bahati zenu!
Nimeshaweka ela mkuu Mimi namuomba Mungu tumtoe legia haraka sana bado mabosi wake wanabet lose or draw
kweli mpira ni hatari PSV ni wa ku droo na kibonde
View attachment 389388mb
mbona makampuni ya nje,ndio yana wateja wengi na mechi nyingi lakini sijawi ona server error
hapo kwenye kuongea peke ako uku unataja taja timu iliyokuchaniaHatareee sn Chief ... kanikata stimu kbs huyo fala PSV ... bahati nzr nkaingia 'Inplay' mkekabet na 10K nkatoka na 110K ... saiv wananizibulia vizibo tu ... maana hakuna namna ... wacha nitandike beers ! huu mchezo smtimes unaweza ukakuacha unaongea peke yako ... shuwaaaain
kweli mungu ana kazi mm nlieeka GGHahahaaa...***** Man City kakosa clean sheet, bora hata wangetoka 0-0 tu niliwapa NG afu yameruhusu goli manina.
Ni mimi nataka nifanye Kaz ya kubet