Ombudsman
JF-Expert Member
- Apr 18, 2012
- 3,565
- 3,729
daah mambo yameanza vibaya
daah mambo yameanza vibaya
daah mambo yameanza vibaya
tupia mwingine mkuu,mimi ni mbovu kwenye kuset mkekaNilijichanganya mi mwenyewe tu, ningewapa 3+ nikatulia ... grrrrrrr
1&4+ iyo means wats wadau
tupia mwingine mkuu,mimi ni mbovu kwenye kuset mkeka
Okay nmekupata jombaaHiyo inamaana timu ya nyumbani ishinde halafu yapatikane magoli ma4 au zaidi, e.g. ushindi wa 3-1, 4-0, 4-3, 4-2 etc
poaPoa man, ntatupia punde ... ngoja nifanye uchambuzi kdg.
mkuu victoria plzen ameshatangaza ubingwa tayari kwahio anaweza asikazeWadau nachambua mikeka ya kesho naona Plzen amepewa odd ya 4.09 wakati ndiyo anaongoza ligi. Inakuwaje hapa????
Bet wonAbirex Niigata 3+
Hebnei Y
Total odds 4.2
Stake 250000
mkuu victoria plzen ameshatangaza ubingwa tayari kwahio anaweza asikaze
katangaza ubungwa kwahyo hana cha kupoteza na anaecheza nae anatafuta nafas ya kufuzu uefaPouwa mkuu ila odd ya 4.09 kubwa sanaa
asante mkuuMkuu nimeingia chimbo nimetoka na hiki kitu ...
View attachment 345236
Tukutane saa 5 na nusu usiku baada ya game zote kwenye huu mkeka kuisha
asante mkuu
Mkuu nimeingia chimbo nimetoka na hiki kitu ...
View attachment 345236
Tukutane saa 5 na nusu usiku baada ya game zote kwenye huu mkeka kuisha
Double bet hizo znakuaje kuaje mkuu
Hiyo 1X&2+ maana yake timu ya nyumbani ishinde ama itoe draw lakini pia yapatikane magoli mawili au zaidi, e.g. matokeo ya 2-0, 3-1, 1-1, 2-2 etc.