babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,190
- 16,136
pole sana kaka hiyo yote mipango ya mungu,iliyobaki kumshukuru yeye kwa yote na kutoa sadaka imeniuma sana kwani nami babayangu alikufa kwenye ajali ya pikipiki on the spot.na nimesikia ni ajali yako ya pili ushauri wangu sasa kaa nayo mbali kabsa maana ya tatu haikopeshi na ndivyo ilivyotokea kwa baba yangu mpendwa miaka 21 iliyopita MUNGU AMREHEMU na akusaidie kujipanga upya ndo maisha kaka.