MWANAHARAKATI MWEMA
Senior Member
- Dec 16, 2022
- 192
- 270
Namshukuru mwenyezimungu mwingi WA kusamehe, pia nawashukuru wazazi wangu Kwa kunizaa pia nawasalimu wote ambao tupo kwenye jukwaa hili.
Kwanza kabisa naomba niseme wazi kwamba Mimi ni miongoni mwa watu ninaojihisi nachukiwa sana katika maisha yangu, nimekuwa napitia changamoto za kukejeliwa na kunyooshewa vidole na wafanyakazi wenzangu.
Nimekuwa nikijitaidi sana kuonyesha upendo Kwa wenzangu na na KUTOA ushauri wa masuala mbalimbali inapotokea inaitajika lakini mara nyingi mawazo yangu huwa yanapingwa na kupuuzwa.
Kwa muda mrefu sana nimekuwa natafakali Kwa nini imekuwa hivyo, japo nimejitaidi kujipendekeza Kwa baadhi ya watu lakini wengi wanakuwa kama hawapendi kuwa na Mimi, kila mara nimekuwa najiuliza Shida nini au nimelogwa au Kwa Sababu Sina uhandsome, au Kwa Sababu sinywi pombe au Kwa Sababu uwezo wangu fedha haunifanyi nipewe heshima.
Maswali ni mengi sana kiasi naisi nimechezewa labda na wengine wanapitia haya au ni Mimi TU, na kama Kuna vigezo vingine niambiwe Kwa maana mpaka natamani nianze kujichubua niwe mweupe au niende Kwa mganga ili kama nimetupiwa mikosi ili niitoe.
Ndugu zangu sikieni TU mtu kuchukiwa inauma sana kiasi unaweza kujitoa uhai,Mimi napitia changamoto ambazo naona hazistaili kabisa ,najiona Ni kama Kazi niliyonayo inaniponza Kwa kuwa Mimi napenda sana kutetea haki na usawa.
asanteni.
Kwanza kabisa naomba niseme wazi kwamba Mimi ni miongoni mwa watu ninaojihisi nachukiwa sana katika maisha yangu, nimekuwa napitia changamoto za kukejeliwa na kunyooshewa vidole na wafanyakazi wenzangu.
Nimekuwa nikijitaidi sana kuonyesha upendo Kwa wenzangu na na KUTOA ushauri wa masuala mbalimbali inapotokea inaitajika lakini mara nyingi mawazo yangu huwa yanapingwa na kupuuzwa.
Kwa muda mrefu sana nimekuwa natafakali Kwa nini imekuwa hivyo, japo nimejitaidi kujipendekeza Kwa baadhi ya watu lakini wengi wanakuwa kama hawapendi kuwa na Mimi, kila mara nimekuwa najiuliza Shida nini au nimelogwa au Kwa Sababu Sina uhandsome, au Kwa Sababu sinywi pombe au Kwa Sababu uwezo wangu fedha haunifanyi nipewe heshima.
Maswali ni mengi sana kiasi naisi nimechezewa labda na wengine wanapitia haya au ni Mimi TU, na kama Kuna vigezo vingine niambiwe Kwa maana mpaka natamani nianze kujichubua niwe mweupe au niende Kwa mganga ili kama nimetupiwa mikosi ili niitoe.
Ndugu zangu sikieni TU mtu kuchukiwa inauma sana kiasi unaweza kujitoa uhai,Mimi napitia changamoto ambazo naona hazistaili kabisa ,najiona Ni kama Kazi niliyonayo inaniponza Kwa kuwa Mimi napenda sana kutetea haki na usawa.
asanteni.